moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,132
- 770,199
Kwema kiongoziFresh tu mkuu vipi kwema

Kwema kiongoziFresh tu mkuu vipi kwema

Vizuri sana kama ni kwema mkuuKwema kiongozi![]()
Huwa wanakuna nazi.Kitambi...
View attachment 1810872
Hiki kweli ni kituko mitandaoni."Mimi ni shabiki lia lia wa Coastal union, lakini hawa Yanga nimejitolea sana kuwasaidia kifedha walivyoondokewa na tajiri yao Yusuf Manji, nawashangaa ati leo wananilalamikia eti nawaonea.
Yanga muwage na shukrani"--- Wallace Karia Rais wa TFF.View attachment 1810727