Dharau mbaya, huyo huyo anaweza kukutoa ngeu
Duuuh aiseeHaya kazi hiyo hapo, nguvu zako tuView attachment 1810736
Watoto wa siku hizi ni wadadisi sana
Waalimi wanajipa shida sana
Fresh tu mkuu vipi kwemaNiaje mzee baba![]()
Ukimuondoa pale Mercedez Benz hamna kitu atafanya trust me. Unaweza mpeleka team kama McLarren uone asishinde hata mbili kwa mwaka. Pale Mercedes wale madereva top 5 wa F1 yeyote ukimuweka pale anatwaa tajiAmeshinda Bahrain,Portugal na Spain ila leo kafanya uzembe mwenyewe
Hii movie niliipendaga sanakwa kweliView attachment 1810848
Hivi huyu ni striker wa klabu gani vile!?