Mbona hii habari niliisoma ni minofu ya kweli!?Kabuni mfano wa nyama kwa kweli ila siyo nyama halisi ni ubunifu tu wa mavazi wa lady gaga
Vikali vikizidi ndio mambo haya, waeza dhani utumbo utatoka kwa mdomo! 🤣 🤣 🤣
Mbona hii habari niliisoma ni minofu ya kweli!?
Noa kisu mwanangu! 🤣
Hii moment huwa unasema sinywi tena pombeVikali vikizidi ndio mambo haya, waeza dhani utumbo utatoka kwa mdomo!![]()
![]()
![]()

Suppressor iko sawa, imezuia nyingi, kuna nyingine jamaa alitupa round 400 kitu kikayayuka tayari. So hii type atleast iko chonjo!Tatizo ni supressor hapo! Ila kiukweli mi naikubali browning, FN tupa kule!
Hehehe, baada ya mwezi tu, usharudia! 🤣Hii moment huwa unasema sinywi tena pombe![]()
Chuma chala! Makusudi hayo! 🤣 🤣 🤣