Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Hapo hata dushe linasinyaa kama la mtoto! 😁😬😬😬
Hapo hata dushe linasinyaa kama la mtoto! 😁😬😬😬
Kula size yako, ni hapo ukiangushe sasa! 🤣 🤣 🤣 Huyo aliyekaribu yako kama ni mkubwa wako basi utajamba tu, sio kwa konde utalowekelewa! 🤣Hapa ndipo filibeti bai alipoasisiwa..........View attachment 1793558
Lakuchumpa Lakumkrokodile Afrikaneus (scientific name) 😝😁😂🤣😅Krokodaili shuzi.........View attachment 1793557
Life ain't fair! 🤣 🤣 🤣
Evaporation of boychild! 🤣 🤣 🤣
Macho yangu ama, si minofu hiyo? 😂
Washakuwa wa kubetiwa sio? 😂 😂 😂
Macho yangu ama, si minofu hiyo?![]()
Huyo lazma atakuwa kifunga mimba! Anakunywa soda kimasihara! 🤣
Duh! Totoz wa kwetu akivalia hivyo ataambiwa karushiwa ndumba la Nigeria tayari! 🤣 🤣 🤣Kabuni mfano wa nyama kwa kweli ila siyo nyama halisi ni ubunifu tu wa mavazi wa lady gaga
Fractional Distillation![]()

haya mambo yalifanya darasa la arts lifurikeHuwa wanajiona wao kila kitu chaoHuyo lazma atakuwa kifunga mimba! Anakunywa soda kimasihara!![]()

Huyo jamaa ana tatizo kubwa kuliko anavyodhani ndiyo maana mwezi mmoja kwake ameona kama miaka 10.Hii kitu ukitaka uache usijitangazie ushindi, siku ikipita shukuru Mungu kimya kimya![]()