Chief niliisoma hii habari na designer mwenyewe alikiri ni real meat.View attachment 1802497Hapana siyo kweli unajua ni mambo ya mitindo tu na rangi ifanane na nyama kwa kweli alifanikiwa kwa asilimia kubwa.Na alifanikiwa kwa kweli.
Madereva wengine bhana, alafu nikushike! Mamaaa! 😤
Mkuu hamia Browning!Suppressor iko sawa, imezuia nyingi, kuna nyingine jamaa alitupa round 400 kitu kikayayuka tayari. So hii type atleast iko chonjo!
Like father like son... Hapo hata mzee ashashikanisha tayari! 🤣
Hebu nipe series moja unayoiamini niiperuzi!Mkuu hamia Browning!
Nimeicheki tayari lkn bado haina mvuto vile, bado wanajikokota. Alafu naona mchango wa FN kwenye bidhaa zao zingine.Mkuu hamia Browning!
Legends! 🤣 🤣 🤣
HahahqhahaHuyu ndege atakuwa Mzaramo huyu tena kimbaumbau. Nisikilizie muziki wake sasa...



Miaka 75 bado tunalisongesha japo kwa nadra unafikiri mchezo? Uraibu mbaya sana![]()



We jamaa acha janja zako,Huu ndio ule uchizi freshi wa mapenzi! 🤣 🤣 🤣