ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 4,609
- 14,178
Sasa na ustawi wa jamii itakuaje


Mguso wa wallet yenye pesa na isiyo na pesa wanaelewa .kama haina pesa utaona kimyaVipi kama wallet haina kitu? Bado atalegea?
Okello alipaka unga unga


Jeshi ana KIU balaaa...hahahahahaaaaaaaaaaaa kala tunda, kala mbegu bado shina



Huko kote wanawea kuyaongea na kumaliza,namfikiria tu bwana PfunkSasa na ustawi wa jamii itakuaje![]()



Wale majamaaa ni mafisi tuHuko kote wanawea kuyaongea na kumaliza,namfikiria tu bwana Pfunk![]()

Wa mandela Winnie keshatangulia ila waliobaki walijitunza, wakawa wavumilivu na sasa wanakula matunda ya kuvumilia vipodo, matusi na aibu zisizosemeka.