Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna wakati unalazimika kumaliza mambo kihuni namna hiyo ili nidhamu ipatikane.
Ikibidi mtu aliwe kiboga ili kutengeneza heshima.
Ninazo shuhuda kadhaa zilizolazimisha matumizi ya nguvu ya aina hiyo ili kumaliza sintofahamu za kuchapiwa
Sijui bhana, labda ni kwa sababu ya maeneo ya uswahilini tuliyoishi watu walikuwa hamnazo
Lakini zamani miaka kadhaa iliyopita nilimuona mtu mmoja, alionywa sana na wazee wa mtaa, kutokana na kile alichokuwa anakifanya kwa mke wa jirani yake,
jirani ambaye ni kipenzi cha watu kwenye eneo hilo.
Kilichomkuta mtu huyo hatakuja kukisahau ikiwa yupo hai huko aliko.
Huwezi kuamini, mikakati yote lilipangwa na majirani wa mwenye mke.
Kama kulikuwa na mihemko basi wale majirani walikuwa na mihemko zaidi kuliko mwenye mali zake.
Nachosema mie ni kwamba two wrongs dnt make a right. Kweli mtu kumtongoza mke wa mtu ni kosa lakini pia mke kukubali kusasambuliwa mbususu nalo kosa.

Sasa mie sioni manyiki ya kumla tigo jamaa alafu mke unarudi nae nyumbani unless nae unaenda kumla tigo🤣🤣🤣🤣
 
IMG_20210412_110643_369.jpg
 
Nachosema mie ni kwamba two wrongs dnt make a right. Kweli mtu kumtongoza mke wa mtu ni kosa lakini pia mke kukubali kusasambuliwa mbususu nalo kosa.

Sasa mie sioni manyiki ya kumla tigo jamaa alafu mke unarudi nae nyumbani unless nae unaenda kumla tigo
Kuchapiwa ni mtihani. Wanaume tunapenda kuchepuka lakini tukichapiwa dah! Yataka moyo sana kuendelea na huyo mke....

Huyo jamaa aliyeongelewa hapo juu nadhani alikuwa mhanga tu wa mob psychology ya hao Waswahili. Na kama alishaonywa na wananzengo akawapuuzia basi anastahili alichokipata. Ila mume naye ni boya tu. Kwa nini mkeo aliwe tena waziwazi mpaka wananzengo waingilie kati? Kuna mke kweli hapo? Ndiyo maana hata Biblia imeruhusu talaka kwenye hili suala la uzinzi.
 
Back
Top Bottom