Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Huo huwa ni ujinga au mihemko tu inayotokana na "mke anauma sana" na athari za mfumo dume. Mwenye kubeba lawama ni mke na si vinginevyo. Wafumaniaji wengine mpaka huwa wanaishia hata kuuwawa wao. Yaani mtu unapoteza maisha kipumbavu tu.na ndio maana nashanga sana mtu anahangaika sijui kukodi wahuni waka mle tigo mwanaume mwenzie. yote hayo nikutokana na kujiaminisha kwamba upo peke yako kwenye mbususu





