Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1618258530966.jpg
 
Nachosema mie ni kwamba two wrongs dnt make a right. Kweli mtu kumtongoza mke wa mtu ni kosa lakini pia mke kukubali kusasambuliwa mbususu nalo kosa.

Sasa mie sioni manyiki ya kumla tigo jamaa alafu mke unarudi nae nyumbani unless nae unaenda kumla tigo
Jamaa alipaswa kumpa talaka yule wife, sema ni vile Jamaa alikuwa na mtoto mgonjwa pale nyumbani, alihitaji uangalizi 24 hrs wa mama yake. na jamaa ni dereva wa malori.
ikaonekana talaka ni ngumu.
Majirani wakaweka mkakati wa kumkomesha yule kijana ili yule demu auguze mwanawe wakati mumewe akipiga safari za Congo.
Ilikuwa ni mchakato ambao huyo kijana pia alipewa angalizo lakini hakusikia.
Ilikuwa ni mbaya, lakini ndiyo hivyo.
 
Back
Top Bottom