Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wachache sana watafahamu haka kakisima kako wapi...
FB_IMG_15970773975254618.jpg
 
Mbona ni mtu mzima, anapoteaje sasa?

mkuu,maisha haya yana mambo mengi acha tu,hata mimi nimewahi kupotea mwaka jana yani nilijikuta naenda tu bila kujua naenda wapi i was stressed afu ilikua usiku,bahati nzuri nilifika sehemu akili ikarudi nikagundua nipo sehemu ambayo siijui so unaweza kukuta ya huyu jamaa haijarudi hadi leo
 
Kilikuwa mbele ya bwalo chini chini kule kwenye miti....Basi hapo sometimes jopo lilikuwa likikaa linaanza kuwajadili madem wa Weruweru,Machame girl, Mawenzi sec n.k..

hahahaha watoto wa Old moshi huwa wananifurahisha sana yani niwagumu sana siku hizi.wale wa sasa sidhani kama hata wanawaza mademu
 
mkuu,maisha haya yana mambo mengi acha tu,hata mimi nimewahi kupotea mwaka jana yani nilijikuta naenda tu bila kujua naenda wapi i was stressed afu ilikua usiku,bahati nzuri nilifika sehemu akili ikarudi nikagundua nipo sehemu ambayo siijui so unaweza kukuta ya huyu jamaa haijarudi hadi leo
so sad ..pole sana...
Nakumbuka wakati nasoma o level, usiku kama saa saba au nane hivi jamaa akaamka akashuka kitandani...

Akatoka ila stail aliyotoka nayo iliwashangaza wanafunzi wachache wa A level walikuwa wanasoma pale bwenini usiku huo....jamaa akatokomea gizani akavuka fensi ya shule akaanza kuingia mtaani....wale waliokuwa wanasoma wakamkimbilia...wakamkamata jamaa hata hajielewi...akili zikamrudia baadae sana
 
hahahaha watoto wa Old moshi huwa wananifurahisha sana yani niwagumu sana siku hizi.wale wa sasa sidhani kama hata wanawaza mademu
Hapa nadhani nikitamka majina haya, watu wengi watakumbuka vizuri...Mzee Omy,Lisa Pita, Samki, Kyara, Baharia, P Did, Shayo aka Don Yeni na wengineo weengi...

bila kumsahau derwva wa lile Layland la shule..
 
Back
Top Bottom