sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,645
- 8,735





Dah watu wana vituko.






Chungulia PM yakoKwa manufaa ya jamiiView attachment 1557709





Amefichwa hukoKwa manufaa ya jamiiView attachment 1557709
Mbona ni mtu mzima, anapoteaje sasa?Kwa manufaa ya jamiiView attachment 1557709
Old Moshi sekondari..sio musoma hii ?

Kilikuwa mbele ya bwalo chini chini kule kwenye miti....Basi hapo sometimes jopo lilikuwa likikaa linaanza kuwajadili madem wa Weruweru,Machame girl, Mawenzi sec n.k..old moshi nimewah kufik hapo ila sijawahi kuona hiki kisima.labda kwa sababu huwa napita tu


Mbona ni mtu mzima, anapoteaje sasa?
,hata mimi nimewahi kupotea mwaka jana yani nilijikuta naenda tu bila kujua naenda wapi i was stressed afu ilikua usiku,bahati nzuri nilifika sehemu akili ikarudi nikagundua nipo sehemu ambayo siijui so unaweza kukuta ya huyu jamaa haijarudi hadi leoKilikuwa mbele ya bwalo chini chini kule kwenye miti....Basi hapo sometimes jopo lilikuwa likikaa linaanza kuwajadili madem wa Weruweru,Machame girl, Mawenzi sec n.k..![]()
watoto wa Old moshi huwa wananifurahisha sana yani niwagumu sana siku hizi.wale wa sasa sidhani kama hata wanawaza mademuso sad ..pole sana...mkuu,maisha haya yana mambo mengi acha tu,hata mimi nimewahi kupotea mwaka jana yani nilijikuta naenda tu bila kujua naenda wapi i was stressed afu ilikua usiku,bahati nzuri nilifika sehemu akili ikarudi nikagundua nipo sehemu ambayo siijui so unaweza kukuta ya huyu jamaa haijarudi hadi leo
hahahahawatoto wa Old moshi huwa wananifurahisha sana yani niwagumu sana siku hizi.wale wa sasa sidhani kama hata wanawaza mademu




sasa hivi wanajidai wamekuwa wagumu.....hahahaa...sasa hivi wanajidai wamekuwa wagumu.....hahahaa...
sanaaa alafu na Gate wamefungiwa lile gate dogoHapa nadhani nikitamka majina haya, watu wengi watakumbuka vizuri...Mzee Omy,Lisa Pita, Samki, Kyara, Baharia, P Didhahahahawatoto wa Old moshi huwa wananifurahisha sana yani niwagumu sana siku hizi.wale wa sasa sidhani kama hata wanawaza mademu

, Shayo aka Don Yeni na wengineo weengi...




