Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hapa nadhani nikitamka majina haya, watu wengi watakumbuka vizuri...Mzee Omy,Lisa Pita, Samki, Kyara, Baharia, P Did[emoji23][emoji23], Shayo aka Don Yeni na wengineo weengi...

bila kumsahau derwva wa lile Layland la shule..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

lazima watu watakuja tu. mkuu lile layland nalipata aise limechoka kinyama yani kuna magari pale kama garage [emoji1787]
 
lazima watu watakuja tu. mkuu lile layland nalipata aise limechoka kinyama yani kuna magari pale kama garage [emoji1787]
Lile Layland sometimes lilikuwa linatupeleka kule Machine Tools machame kupalilia au kuvuna mahindi ya shule....

Kuna siku likatupeleka hukoo Uru kuchukua kuni..[emoji23][emoji119][emoji119][emoji23]....

Maisha ya ile shule niliyapenda kuliko sehemu zote nilizowahi kusoma..
 
[emoji23]
IMG_20200903_094721.jpg
 
Lile Layland sometimes lilikuwa linatupeleka kule Machine Tools machame kupalilia au kuvuna mahindi ya shule....

Kuna siku likatupeleka hukoo Uru kuchukua kuni..[emoji23][emoji119][emoji119][emoji23]....

Maisha ya ile shule niliyapenda kuliko sehemu zote nilizowahi kusoma..
hahaha sasa hivi sidhani kama linatumika,mkuu kwa sasa madogo sidhani kama wanapenda yale maisha maana pamechoka mno
 
Back
Top Bottom