Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hapa nadhani nikitamka majina haya, watu wengi watakumbuka vizuri...Mzee Omy,Lisa Pita, Samki, Kyara, Baharia, P Did, Shayo aka Don Yeni na wengineo weengi...

bila kumsahau derwva wa lile Layland la shule..

lazima watu watakuja tu. mkuu lile layland nalipata aise limechoka kinyama yani kuna magari pale kama garage
 
lazima watu watakuja tu. mkuu lile layland nalipata aise limechoka kinyama yani kuna magari pale kama garage
Lile Layland sometimes lilikuwa linatupeleka kule Machine Tools machame kupalilia au kuvuna mahindi ya shule....

Kuna siku likatupeleka hukoo Uru kuchukua kuni......

Maisha ya ile shule niliyapenda kuliko sehemu zote nilizowahi kusoma..
 
IMG_20200903_094721.jpg
 
Lile Layland sometimes lilikuwa linatupeleka kule Machine Tools machame kupalilia au kuvuna mahindi ya shule....

Kuna siku likatupeleka hukoo Uru kuchukua kuni......

Maisha ya ile shule niliyapenda kuliko sehemu zote nilizowahi kusoma..
hahaha sasa hivi sidhani kama linatumika,mkuu kwa sasa madogo sidhani kama wanapenda yale maisha maana pamechoka mno
 
Back
Top Bottom