Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,517
- 9,437
Hahahhaa...lile geti dogo lilikuwa tukifungiwa mchana, usiku linachokonolewa tu..sanaaa alafu na Gate wamefungiwa lile gate dogo

kisha watu wanaingia hapo mtaani kupata DAWA..
Hahahhaa...lile geti dogo lilikuwa tukifungiwa mchana, usiku linachokonolewa tu..sanaaa alafu na Gate wamefungiwa lile gate dogo

kisha watu wanaingia hapo mtaani kupata DAWA..Hapa nadhani nikitamka majina haya, watu wengi watakumbuka vizuri...Mzee Omy,Lisa Pita, Samki, Kyara, Baharia, P Did, Shayo aka Don Yeni na wengineo weengi...
bila kumsahau derwva wa lile Layland la shule..![]()

Lile Layland sometimes lilikuwa linatupeleka kule Machine Tools machame kupalilia au kuvuna mahindi ya shule....lazima watu watakuja tu. mkuu lile layland nalipata aise limechoka kinyama yani kuna magari pale kama garage![]()



....hahaha sasa hivi sidhani kama linatumika,mkuu kwa sasa madogo sidhani kama wanapenda yale maisha maana pamechoka mnoLile Layland sometimes lilikuwa linatupeleka kule Machine Tools machame kupalilia au kuvuna mahindi ya shule....
Kuna siku likatupeleka hukoo Uru kuchukua kuni......
Maisha ya ile shule niliyapenda kuliko sehemu zote nilizowahi kusoma..
yani jamaa kanishangaza sana alitumia vigezo gani kujua mwenzie mbaya
![]()