Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,984
Ye mbona Tanzania wote watani zake ..akienda kwa wazaramo anawaita watani, kwa wagogo, wanyakyusa wote watani zake
ila yeye hataki wamtanie

Ye mbona Tanzania wote watani zake ..akienda kwa wazaramo anawaita watani, kwa wagogo, wanyakyusa wote watani zake

Kuna wanaotaniwa nchi hii kuliko Wasukuma?ni kweli.... tatizo tukiwatania mnaanza kulia




Ila kweli hawapo, mkiondoka tutawamisi sanaKuna wanaotaniwa nchi hii kuliko Wasukuma?
![]()
Kuna wanaotaniwa nchi hii kuliko Wasukuma?
![]()
Hahahaaa et handsame! Lugha za watu hizi.Kigwa ni handsame sana tu tena sana