Maelezo hayakueleweka. Simlaumu mtengeneza keki!
yani jamaa kanishangaza sana alitumia vigezo gani kujua mwenzie mbaya
![]()
Watani hao wanajuanaMagu anazingua sana



Watani hao wanajuana![]()
Ye mbona Tanzania wote watani zake ..akienda kwa wazaramo anawaita watani, kwa wagogo, wanyakyusa wote watani zakeitakuwa ni kweli
Wasukuma ni watani wa kila mtuYe mbona Tanzania wote watani zake ..akienda kwa wazaramo anawaita watani, kwa wagogo, wanyakyusa wote watani zake



Wasukuma ni watani wa kila mtu![]()


ni kweli.... tatizo tukiwatania mnaanza kulia