Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Who is yo daddy?
Mbagala Rangi Tatu 😁😁😁
Anadanganya.Wote tumsikilize huyu mtumishi kwa uangalifu na tuchukue tahadhari please. Mwezi wa nne siyo mbali 😁
View attachment 3195705
Ujumbe wa wake uko sahaihi.
Namba imetolewa januari
Huyo aliyerekodi ni wa kuchoma tu.
Ila jambo zuri ingawa wanakosoa hicho kizungu cha Diamond wao wenyewe Kiswahili hawakijui.
😹😹😹 Tatizo Hennessy nikinywa naanza kumtafuta dear ex tugombane..!!Yaani namwambiaga Labella kila siku hiyo pombe yake nikiiona chupa yake tu nasikia mawenge...😅😅😅sijawahi kuitest ila naiogopa.....mdogo wangu kasema hennessy halewi
Kaka acha uongo basi 😹😹😹Jägermeister ukiifakamia bila mpango unaweza kujishushia mzigo. Walevi wengi huwa wanainywa kwa step...
Mwambie kwenye Hennessey adondosheemo vishoti vya Jameson. Dakika 10 hamalizi atakuwa keshawaka! 😁