Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Who is yo daddy?

Screenshot_20250109_040951_Instagram Lite.jpg
 
Yaani namwambiaga Labella kila siku hiyo pombe yake nikiiona chupa yake tu nasikia mawenge...😅😅😅sijawahi kuitest ila naiogopa.....mdogo wangu kasema hennessy halewi
😹😹😹 Tatizo Hennessy nikinywa naanza kumtafuta dear ex tugombane..!!
Ila Jägermeister nikinywa nawaza nizidi kupata pesa.!!
 
Jägermeister ukiifakamia bila mpango unaweza kujishushia mzigo. Walevi wengi huwa wanainywa kwa step...

Mwambie kwenye Hennessey adondosheemo vishoti vya Jameson. Dakika 10 hamalizi atakuwa keshawaka! 😁
Kaka acha uongo basi 😹😹😹
Ujishushie mizigo imekuwa wanzuki?

Hiyo formula ya kumix shot ya Jameson halafu nikilog in JF na kidumu changu cha petrol naenda lockup fasta 😹😹😹
 
Back
Top Bottom