Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20241231_090748_017.jpg
 
Em ngoja kwanza, kwahiyo ulaya wafungwa huwa na simu zao vyumbani?
UK sijui lakini nchi za Scandinavia nasikia ni jambo la kawaida...

Au wakati mwingine simu zinakuwa smuggled in hata kama haziruhusiwi - hasa kama adhabu siyo kali sana. Ma Don wanakuwa nazo tu. Mtu anaendesha Cartel akiwa gerezani japo mawasiliano mengi huwa ni kwa njia ya coded language...
 
Back
Top Bottom