Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Ibadilishe.Duh kwani linasikitisha sana?
Nimeifatilia jf mda mrefu sana kwenye kiswaswadu kinacho aplay operamini huku nikitamani kupata kifaa kitakacho niwezesha kujiunga na jf kwahiyo kwavile umasikini/uchache wa kipato umeniweka kando na jf muda mrefu acha tu nitumie hii ID mkuu.
Nakusihi sana!
Kamwe usijitamkie mabaya wala kujipa majina yasiyo na mibaraka; na yenye kukata tamaa. Maana ujionavyo ndivyo ulivyo; na ndivyo utakavyokuwa.
Dunia hii ni katili; na hakuna atakayekuhurumia maana maisha yako ni jukumu lako wewe mwenyewe 100%.
Badilisha hilo jina. Wewe si kijana masikini. Jiite hata Kijana Anayejitafuta au Kijana Mpambanaji...
Badilisha mtazamo wako!
Mimi nakataa!
Wewe siyo kijana masikini!
