Ahaa duh kama ingekuwa bongo sipati picha hayo maselfiiUK sijui lakini nchi za Scandinavia nasikia ni jambo la kawaida...
Au wakati mwingine simu zinakuwa smuggled in hata kama haziruhusiwi - hasa kama adhabu siyo kali sana. Ma Don wanakuwa nazo tu. Mtu anaendesha Cartel akiwa gerezani japo mawasiliano mengi huwa ni kwa njia ya coded language...
Unaonaje ukibadilisha hiyo ID yako? Kwa nini unajiita Kijana Masikini? Iondoe bana unless kama unaamini kuwa utabakia masikini daima!Em ngoja kwanza, kwahiyo ulaya wafungwa huwa na simu zao vyumbani?
Ila askari pisi ya kwenda...😅
Yaani namwambiaga Labella kila siku hiyo pombe yake nikiiona chupa yake tu nasikia mawenge...😅😅😅sijawahi kuitest ila naiogopa.....mdogo wangu kasema hennessy halewiAliyegundua Jägermeister mbingu ataisikia kwenye tivii tu. Pombe ya hovyo kabisa yaani. Ndiyo maana hata Labella haifagilii.
Kapigeni Hennessey ndiyo pombe inayopendwa na pisi kali zenye hela kama nyinyi! 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Duh kwani linasikitisha sana?Unaonaje ukibadilisha hiyo ID yako? Kwa nini unajiita Kijana Masikini? Iondoe bana unless kama unaamini kuwa utabakia masikini daima!
Ina maana na simu zote hizi za mikopo bado unalalamika mambo ya simu?acha basi🙄🙄🙄fuata ushauri wa kakaDuh kwani linasikitisha sana?
Nimeifatilia jf mda mrefu sana kwenye kiswaswadu kinacho aplay operamini huku nikitamani kupata kifaa kitakacho niwezesha kujiunga na jf kwahiyo kwavile umasikini/uchache wa kipato umeniweka kando na jf muda mrefu acha tu nitumie hii ID mkuu.
Unaongea tu kwa vile unaona hivi watu tunavyovimba huku kwenye dunia ya bando hujiwi uhalisia wa memba mmoja mmoja. Hii ID inaakisi uhalisia wa laifu langu jamani.Ina maana na simu zote hizi za mikopo bado unalalamika mambo ya simu?acha basi🙄🙄🙄fuata ushauri wa kaka