Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1736237484608.jpg
 
UK sijui lakini nchi za Scandinavia nasikia ni jambo la kawaida...

Au wakati mwingine simu zinakuwa smuggled in hata kama haziruhusiwi - hasa kama adhabu siyo kali sana. Ma Don wanakuwa nazo tu. Mtu anaendesha Cartel akiwa gerezani japo mawasiliano mengi huwa ni kwa njia ya coded language...
Ahaa duh kama ingekuwa bongo sipati picha hayo maselfii
 
Aliyegundua Jägermeister mbingu ataisikia kwenye tivii tu. Pombe ya hovyo kabisa yaani. Ndiyo maana hata Labella haifagilii.

Kapigeni Hennessey ndiyo pombe inayopendwa na pisi kali zenye hela kama nyinyi! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Yaani namwambiaga Labella kila siku hiyo pombe yake nikiiona chupa yake tu nasikia mawenge...😅😅😅sijawahi kuitest ila naiogopa.....mdogo wangu kasema hennessy halewi
 
Unaonaje ukibadilisha hiyo ID yako? Kwa nini unajiita Kijana Masikini? Iondoe bana unless kama unaamini kuwa utabakia masikini daima!
Duh kwani linasikitisha sana?
Nimeifatilia jf mda mrefu sana kwenye kiswaswadu kinacho aplay operamini huku nikitamani kupata kifaa kitakacho niwezesha kujiunga na jf kwahiyo kwavile umasikini/uchache wa kipato umeniweka kando na jf muda mrefu acha tu nitumie hii ID mkuu.
 
Duh kwani linasikitisha sana?
Nimeifatilia jf mda mrefu sana kwenye kiswaswadu kinacho aplay operamini huku nikitamani kupata kifaa kitakacho niwezesha kujiunga na jf kwahiyo kwavile umasikini/uchache wa kipato umeniweka kando na jf muda mrefu acha tu nitumie hii ID mkuu.
Ina maana na simu zote hizi za mikopo bado unalalamika mambo ya simu?acha basi🙄🙄🙄fuata ushauri wa kaka
 
Ina maana na simu zote hizi za mikopo bado unalalamika mambo ya simu?acha basi🙄🙄🙄fuata ushauri wa kaka
Unaongea tu kwa vile unaona hivi watu tunavyovimba huku kwenye dunia ya bando hujiwi uhalisia wa memba mmoja mmoja. Hii ID inaakisi uhalisia wa laifu langu jamani.
SIBADILISHII NIUWENII.... NIUWENII.... NIUWENII...🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom