Nchi nyingi za Ulaya kifungo ni kuzuiwa tu na kukosa baadhi ya mambo, lakini wafungwa hupata huduma kadhaa za kibinadamu tofauti na nchi zetu hizi.Em ngoja kwanza, kwahiyo ulaya wafungwa huwa na simu zao vyumbani?
Jongoo inalamba maji.
Beba mbege na mavyombo yote, ndiyo si unakojoa ndani.
Ili ukojoe ndani, beba mbege, si ndio????Beba mbege na mavyombo yote, ndiyo si unakojoa ndani.
Eee beba tu kila kibebwaIli ukojoe ndani, beba mbege, si ndio????
Hayo maduduwasha? ThubutuuuView attachment 3196210
Ndoto ya kila Mwanamke Jf😎
Naona dada umepnezwa nae.Hayo maduduwasha? Thubutuuu