Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1712237436575.jpg
 
Asante
Afadhali umeona hiyo, maana ni nchi sita tu ndio zilizo kuwa na usafiri binafsi ambazo ni
Marekani, German, Japan, Israel, Canada na France.
Malalamiko wanafanya ya nini kama nchi kubwa kama Australia nayo pia iliachwa!
Watu wengine ni vibuyu kweli kweli walahi
Naomba nikuulize swalimkuu 'melusine8': hivi hawa viongozi wetu wa hivi viinchi vyetu ilikuwa ni lazima wawepo kwenye huo msiba?
Isingetosha kupeleka tu salamu za kuungana na hao wakubwa kwenye msiba wao huo isingetosha?

Hapana, mimi sikubaliani nawe kamwe kwa kuunganishwa katika kudhalilishwa huko walikofanyiwa hao viongozi. Mimi simo kabisa kwenye hilo daraja lenu la kuwa duni kuliko hao wengine.
 
Ndiyo. Mimi nilishauriwa kwenda kuiondoa hiyo organ donor maana ukipata ajali halafu uwe peke yako ukifikishwa hospitalini jamaa wanaweza wakaamua kuvuna kila kitu halafu wakaandika ripoti ya uongo kuwa ulikuwa huponi. Na ukiwa mweusi uwezekano huo ni mkubwa zaidi. Niliogopa!
Ikiwa hivyo ndivyo haina maana kuchangia. Unajitoa kwa ajili ya jamii kumbe kuna jitu linanufaika bure bure.
Dunia nzima imejaa watu wenye tamaa.
Pumbavu
 
Back
Top Bottom