Hapa ndipo thamani ya maisha inapoonekana, Kuna watu wapo na uwezo mkubwa wa fedha ila afya zao sio nzuri lakini pia kuna watu hawana chochote na wala thamani yao haipo ila maisha na uhai wao unathaminika kwa kiasi kikubwa , japo kuna watu wajinga wanafanya vitu hatari kwa uhai hali uhai ni wa thamani sana.View attachment 2952730
Ndiyo. Ni operesheni ya kawaida tu. Nadhani hata Muhimbili wanafanya kama sikosei japo wenye hela zao huwa wanakimbilia nje.
Marekani kule ukienda kukata leseni ya udereva unaulizwa kama unataka kuwa organ donor. Ukikubali leseni yako inakuwa na alama ya moyo kwa nyuma na neno Organ Donor.
Siku ikitokea umepata ajali na huwezi kupona basi wanavuna viungo vyote ambavyo havijaharibika na kwenda kuvipandikiza kwa wanaovihitaji ambao huwa ni wengi. Ndiyo maana biashara ya viungo vya binadamu ni biashara ya mabilioni ya dola kwa mwaka maana kuna waiting list ndefu sana kwa viungo hivi.
Ndiyo. Mimi nilishauriwa kwenda kuiondoa hiyo organ donor maana ukipata ajali halafu uwe peke yako ukifikishwa hospitalini jamaa wanaweza wakaamua kuvuna kila kitu halafu wakaandika ripoti ya uongo kuwa ulikuwa huponi. Na ukiwa mweusi uwezekano huo ni mkubwa zaidi. Niliogopa!Kumbe unaweza kuwa organ donor na bado viungo vyako vitauzwana pia utajiweka kwenye hatari ya kunyofolewa viungo vyako katika mazingira ya ajali ingawa ungeweza kupona
.
Dunia siyo mahali salama kwa sasa
🙏🙏🙏🙏🤲Harakati za mwanadamu katika kutafuta riziki hazina utulivu wala urahisi, zimejaa misongamano na mibanano kwa vile kila mmoja ifikapo asubuhi huamka nakulekea kwenye harakati hizo.
Asubuhi asubuhi yetu ikawe njema hatakama itaambana na usumbufu wa namna moja ama nyingine View attachment 2953404
Akivaa Sendo na Soksi je?
Urafiki wa kweli 💯 imenitouch kwenye chembe cha moyo