Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20220920_001028.jpg
 
Tuache upotoshaji pale Uingereza msibani kulikuwa na wageni zaidi ya 500 ambao ni VIPs kiprotokali kuwasafirisha kila mmoja na msafara wake isingekuwa rahisi kwa sababu ya muda;usalama,gharama na pia nguvu kazi. Hata familia ya malkia ilipanda mabasi na viongozi mbalimbali wa nchi duniani. Sasa kupotosha kwamba wamedhalilishwa si kweli kwani ile sio safari ya kiofisi ni msiba.Biden alisafiri na magari yake yanaitwa the beast
 
Tuache upotoshaji pale Uingereza msibani kulikuwa na wageni zaidi ya 500 ambao ni VIPs kiprotokali kuwasafirisha kila mmoja na msafara wake isingekuwa rahisi kwa sababu ya muda;usalama,gharama na pia nguvu kazi. Hata familia ya malkia ilipanda mabasi na viongozi mbalimbali wa nchi duniani. Sasa kupotosha kwamba wamedhalilishwa si kweli kwani ile sio safari ya kiofisi ni msiba.Biden alisafiri na magari yake yanaitwa the beast

Asante
Afadhali umeona hiyo, maana ni nchi sita tu ndio zilizo kuwa na usafiri binafsi ambazo ni
Marekani, German, Japan, Israel, Canada na France.
Malalamiko wanafanya ya nini kama nchi kubwa kama Australia nayo pia iliachwa!
Watu wengine ni vibuyu kweli kweli walahi
 
Back
Top Bottom