Naelewa maumivu yako mkuu. Katika umri wetu huu tumeona mengi. Sasa unapotaka iwe halafu haiwi mtu unaanza kujiuliza kwa nini haiwi wakati inavyotakiwa kuwa inakuwa?
Mimi hapa nina fomyula bullet proof kama binti hana tatizo ni lazima tu abebe mzigo tena hata mapacha nikitaka. Ikishindikana huwa naanza kuuliza:
➡️ Eti kwenu mna tatizo la ugumba?
➡️ Ulishawahi kutoa mimba?
➡️ Ulishawahi kuugua magonjwa ya zinaa (kwa muda mrefu)?...
➡️ Ulishawahi kunywa P2 ili usibebe mimba za mahabaria huko nyuma?
➡️ Ulishawahi kutumia njia za uzazi wa mpango?
➡️ Ulishapima afya ya mfumo wako wa uzazi?
➡️ Una uhakika una kizazi?
Akijibu kwa maswali yote haya kwa usadifu halafu bado haiwi kama ninavyotaka iwe basi nitamshangaa sana japo kwa kizazi hiki cha sasa hakuna cha kushangaza....