Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

883.jpg
 
View attachment 2952730
Ndiyo. Ni operesheni ya kawaida tu. Nadhani hata Muhimbili wanafanya kama sikosei japo wenye hela zao huwa wanakimbilia nje.

Marekani kule ukienda kukata leseni ya udereva unaulizwa kama unataka kuwa organ donor. Ukikubali leseni yako inakuwa na alama ya moyo kwa nyuma na neno Organ Donor.

Siku ikitokea umepata ajali na huwezi kupona basi wanavuna viungo vyote ambavyo havijaharibika na kwenda kuvipandikiza kwa wanaovihitaji ambao huwa ni wengi. Ndiyo maana biashara ya viungo vya binadamu ni biashara ya mabilioni ya dola kwa mwaka maana kuna waiting list ndefu sana kwa viungo hivi.
Hapa ndipo thamani ya maisha inapoonekana, Kuna watu wapo na uwezo mkubwa wa fedha ila afya zao sio nzuri lakini pia kuna watu hawana chochote na wala thamani yao haipo ila maisha na uhai wao unathaminika kwa kiasi kikubwa , japo kuna watu wajinga wanafanya vitu hatari kwa uhai hali uhai ni wa thamani sana.
 
Back
Top Bottom