Ndiyo. Ni operesheni ya kawaida tu. Nadhani hata Muhimbili wanafanya kama sikosei japo wenye hela zao huwa wanakimbilia nje.Kwani siku hizi wanapandikiza moyo?
Atakuja kufyatua magoti. Ahamie tu kwenye vimbaumbau kama mimi. Vyepesiiiiiii! 😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Mkaka yupo vizuri!!
Angalau hivi sasa. Siyo ile mikangafu waliyoleta wakati ule 😁VimewasiliView attachment 2952763
Kwenye taifa hilo lenye organ donor vipi kasi ya wizi wa viungo vya mwilili ikoje?View attachment 2952730
Ndiyo. Ni operesheni ya kawaida tu. Nadhani hata Muhimbili wanafanya kama sikosei japo wenye hela zao huwa wanakimbilia nje.
Marekani kule ukienda kukata leseni ya udereva unaulizwa kama unataka kuwa organ donor. Ukikubali leseni yako inakuwa na alama ya moyo kwa nyuma na neno Organ Donor.
Siku ikitokea umepata ajali na huwezi kupona basi wanavuna viungo vyote ambavyo havijaharibika na kwenda kuvipandikiza kwa wanaovihitaji ambao huwa ni wengi. Ndiyo maana biashara ya viungo vya binadamu ni biashara ya mabilioni ya dola kwa mwaka maana kuna waiting list ndefu sana kwa viungo hivi.
Kwenye taifa hilo lenye organ donor vipi kasi ya wizi wa viungo vya mwilili ikoje?
miaka 31 yuko na glas ya mvinyo na bag tuu wakat mama yake alishakuwa na watoto wawili.
mideko njoo uone huku.
🏃🏃🏃🏃mideko njoo uone huku.