Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jeshi la polisi nchini Uganda linawashikilia watu wawili, mhudumu na mmiliki wa mgahawa mmoja jijini Kampala kwa kile kinachosadikiwa kuuza chakula kilichokutwa na uume wa binadamu

Mpita njia mmoja alikula chakula kilicho changanywa nyama kwenye mgahawa huo, hata hivyo alihisi kama anatafuna uume wa binadamu.

Alipotema chakula hicho aliona dhahiri kiungo cha uzazi cha mvulana.

Jeshi la polisi nchini Uganda limepeleka uume huo kwenye maabala ya mkemia mkuu wa nchi hiyo kupata uthibisho wa kisayansiView attachment 2952120

Dunia ina mambo
 
FB_IMG_1711353016878.jpg
 
Back
Top Bottom