Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ahadi ni deni...
FB_IMG_1711823032956.jpg
 
Jeshi la polisi nchini Uganda linawashikilia watu wawili, mhudumu na mmiliki wa mgahawa mmoja jijini Kampala kwa kile kinachosadikiwa kuuza chakula kilichokutwa na uume wa binadamu

Mpita njia mmoja alikula chakula kilicho changanywa nyama kwenye mgahawa huo, hata hivyo alihisi kama anatafuna uume wa binadamu.

Alipotema chakula hicho aliona dhahiri kiungo cha uzazi cha mvulana.

Jeshi la polisi nchini Uganda limepeleka uume huo kwenye maabala ya mkemia mkuu wa nchi hiyo kupata uthibisho wa kisayansi
844.jpg
 
Back
Top Bottom