Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1709993701213.jpg
 
Somo muhimu sana. Usimtuhumu na kumhukumu mtu bila kuwa na uthibitisho na uhakika wa jambo. Kuhukumu watu haraka haraka na kwa kutegemea maneno tu ya watu mara nyingi utaishia kukosana na watu wema bure...na hii inaweza kukugharimu pakubwa!

Mama E. Bila shaka alishanisamehe huko aliko 🙏🏿❤️

Screenshot_20240306_072142_WhatsApp.jpg
Screenshot_20240306_072153_WhatsApp.jpg
Screenshot_20240306_072203_WhatsApp.jpg
Screenshot_20240306_072212_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom