ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 2,116
- 5,530
Na bestfurend mmoja yuko Mwanza.Hamna kitu humo.
Wengi wao weupeee
Tulisoma wote hakua na swagga za kua sista sijui n maisha...katika pitapita tukakutana A- town unajua muda mrefu hamjaona kuchangamkiana kwa sanaa mi nikamueleza yangu 😂😂😂😂yy hakusthubutu kuniambia ukweli wake.
Mavazi yanaonyesha ila kama sio muumini hauwezi kujua maana n sketi refu + kitambaa kichwani....
Wanatunguliwa vibaya mno 😂😂😂.
