Nisiwe muongo, nimejaribu kumeza mate.
Watu wana dhambi sana. Sasa lengo la kumuweka kuku hivi ni nini?
Kama za 5imba zile za November 2023.
Watu wana dhambi sana. Sasa lengo la kumuweka kuku hivi ni nini?
Sasa kama Mtanzania ndio kama wewe kila saa unawaza ngono tu unategemea nini? Kama Taofa linategemea vijana kuleta maona namna ya kusonga mbele ila wengi wanawaza kubet na kujisifia ngono kama wewe. Nyie ndio vijana msio na faida katika nchi yetu. Bora hizo rasilimali tuwape waarabu na nyie vijana tuwauze utumwani tu.Ila akili za kutumia kwa manufaa yetu hatuna
Sasa jamani kwani mie mzabzab kuwaza ngono ndio muwapakazie vijana wote....mbona marekani kuna vijana wa hovyo kama mie lakini bado taifa kubwa na maendeleo yapo. Tena basi hao vijana wa hovyo ndio wanaingiza mpunga mkubwa kuliko nba, nfl mlb combined.Sasa kama Mtanzania ndio kama wewe kila saa unawaza ngono tu unategemea nini? Kama Taofa linategemea vijana kuleta maona namna ya kusonga mbele ila wengi wanawaza kubet na kujisifia ngono kama wewe. Nyie ndio vijana msio na faida katika nchi yetu. Bora hizo rasilimali tuwape waarabu na nyie vijana tuwauze utumwani tu.
Kha! Sasa nikikazia mbususu oh mzabzab mbususu nimehamia kwa boli mnang'akaNdo tabu yenu mpira kila jukwaa ...mtupumzishe 😆