Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyu mzee wa Tanzania alilipwa Elfu moja Kenya kufika border alibadilishiwa na mapesa ya kwao mambo ikawa hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
FB_IMG_1710006833480.jpg
 
Sasa kama Mtanzania ndio kama wewe kila saa unawaza ngono tu unategemea nini? Kama Taofa linategemea vijana kuleta maona namna ya kusonga mbele ila wengi wanawaza kubet na kujisifia ngono kama wewe. Nyie ndio vijana msio na faida katika nchi yetu. Bora hizo rasilimali tuwape waarabu na nyie vijana tuwauze utumwani tu.
Duuu, umempa maneno mazito yenye uhalisia mkubwa.
Jamaa huwa anawaza mgegedano kila anapoona bi dada analanda landa mbele yake
Lakini kwenye maendeleo ya kitaifa anawalalamikia wengine.
Wafrika tuko hivyo.
 
Sasa jamani kwani mie mzabzab kuwaza ngono ndio muwapakazie vijana wote....mbona marekani kuna vijana wa hovyo kama mie lakini bado taifa kubwa na maendeleo yapo. Tena basi hao vijana wa hovyo ndio wanaingiza mpunga mkubwa kuliko nba, nfl mlb combined.

Kwa hiyo suala la mzabzab kupenda ngono hicho ni kisingkzio sio sababu. Kwani hao wazee wetu wenye akili wao wanawaza nini?
Akili za walio wengi wetu zinafanana.
Ni ngono tu.
Lakini wakitoka kugegeda wanalaumu viongozi kudumaza maendeleo.
Maendeleo ya nchi yako yanaanza na wewe.
 
Akili za walio wengi wetu zinafanana.
Ni ngono tu.
Lakini wakitoka kugegeda wanalaumu viongozi kudumaza maendeleo.
Maendeleo ya nchi yako yanaanza na wewe.
Maendeleo wapi bwana wewe....kila mwaka we solving the same perennial problems alafu mwasingizia ngono. Kwanza ngono inachukua asilimia ndogo sana ya muda wa mwanadamu...kama mie dakika mbili chali🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom