Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
MortuaryUnatafuta Malaika Duniani View attachment 2926534
HahahahahahaNisiwe muongo, nimejaribu kumeza mate.

, duu jamaa yangu acha kujaribu jaribu vitu vinavyotokana na stori za mtandaoni

Duuu, umempa maneno mazito yenye uhalisia mkubwa.Sasa kama Mtanzania ndio kama wewe kila saa unawaza ngono tu unategemea nini? Kama Taofa linategemea vijana kuleta maona namna ya kusonga mbele ila wengi wanawaza kubet na kujisifia ngono kama wewe. Nyie ndio vijana msio na faida katika nchi yetu. Bora hizo rasilimali tuwape waarabu na nyie vijana tuwauze utumwani tu.
Akili za walio wengi wetu zinafanana.Sasa jamani kwani mie mzabzab kuwaza ngono ndio muwapakazie vijana wote....mbona marekani kuna vijana wa hovyo kama mie lakini bado taifa kubwa na maendeleo yapo. Tena basi hao vijana wa hovyo ndio wanaingiza mpunga mkubwa kuliko nba, nfl mlb combined.
Kwa hiyo suala la mzabzab kupenda ngono hicho ni kisingkzio sio sababu. Kwani hao wazee wetu wenye akili wao wanawaza nini?
Hii ni dharau ya wakenya.Huyu mzee wa Tanzania alilipwa Elfu moja Kenya kufika border alibadilishiwa na mapesa ya kwao mambo ikawa hiviView attachment 2929739
Naona jamaa yangu hapo pembeni amechoka.