Maendeleo wapi bwana wewe....kila mwaka we solving the same perennial problems alafu mwasingizia ngono. Kwanza ngono inachukua asilimia ndogo sana ya muda wa mwanadamu...kama mie dakika mbili chali🤣🤣🤣🤣🤣Akili za walio wengi wetu zinafanana.
Ni ngono tu.
Lakini wakitoka kugegeda wanalaumu viongozi kudumaza maendeleo.
Maendeleo ya nchi yako yanaanza na wewe.
