Hii app ya browser-based ni mtihani. Labda ni kwangu tu lakini picha zikiwekwa moja kwa moja zinakuwa hazionekani vizuri mpaka mtu abonyeze kama anataka ku-download...
View attachment 2927650
Ukitaka zionekane vizuri wakati wa kuposti ni lazima u-click Insert
View attachment 2927651
Halafu uchague full image ndiyo upost....
View attachment 2927652
Sijui kama na wengine mna tatizo hili au ni mimi peke yangu...
App ya zamani ilikuwa nzuri mtu unaweka tu picha mara moja badala ya hizi steps zote. Hovyo tu yaani!