Vituko mikoani

Vituko mikoani

.
f8495cda30035183ac935edfb80759e8.jpg
 
unanikumbusha mji wa kakola .ilogi na bugarama .kila mwisho wa mwezi madada poa wengi na kila mmoja anasema yeye ni mgeni amekuja kumtembelea ndugu yake ,ajabu guest zote wanazijua ,pumzika kwa Amani amina kistuli ndani ya Kakola jiji la maraha,ni kijiji kinachoongoja kwa antenna za Tv
Kiongozi Mkuzi yaani umenikumbusha enzi zangu. Nilipomaliza shule nilifanikiwa kupata kazi KMCL. So Kakola, Bugarama na Ilogi ndo zilikuwa anga za kutembelea. Hao kina Amina Kistuli, Juke, Alizadi aka Mamaa Congo wote hao (RIP) nilikuwa nawafahamu na kiwanja chao kikubwa cha kutegea wanaume kilikuwa Rweys aka kibasini. Hapo kulikuwa na mini bus mbovu so mwenye bar akaiboresha kwa kuizeka na manyasi then viti vikaweka mkao wa kutizamana halafu akwaeka meza katikati ya viti. Duuuuh it was amazing.
 
madem ambao ukiwatongoza wanachora chini au wanang'ata kucha kijijini wakutosha huku hakuna gharama
 
Wenye mada yenu mko wapiiiii? Bado mko shambani? Au bado mnawinda ndezi?
TUNAKUJA MKUU. TUNAJITAFAKARI TUJUE PA KUANZIA KUTOA TAMKO.
NAMPITIA MPAREE NA SHIRIMA TUJADILI KWANZA HAPA VILLA TUNAKUJA VUTA SUBIRA.
 
Back
Top Bottom