Vituko mikoani

Vituko mikoani

unanikumbusha mji wa kakola .ilogi na bugarama .kila mwisho wa mwezi madada poa wengi na kila mmoja anasema yeye ni mgeni amekuja kumtembelea ndugu yake ,ajabu guest zote wanazijua ,pumzika kwa Amani amina kistuli ndani ya Kakola jiji la maraha,ni kijiji kinachoongoja kwa antenna za Tv
 
kuna gest moja geitagold,sina kumbukumbu vizuri nikiwa mgeni nimeenda field, pamoja na kugida konyagi sikulala! fisi zinapita na wenye nazo dirishani na kuzunguka zunguka! kuna wakati mtu unamwomba mungu hata akuchukue kwa muda tu hadi kukuche! aisee
lakini hakukuchi
 
MSHANA UNALALA MASAA MANNE TU SAA 7 HADI SAA 11 ASUBUHI! VIPI ULITEMBELEA ANGA GANI LEO?! MAANA NAHISI ANGA LIMECHAFUKA!...
Leo nimetoweka muda mrefu sana.. Hali haikuwa shwari sana... Makafara ya mwisho wa January yanatafutwa kwa wingi
 
HAHAHA! SIKUJUA,KUMBE KUNA KAFARA ZA JANUARY?!
Kuna za kila mwezi
Kuna za kufungulia mwaka
Kuna za robo mwaka
Kuna za nusu mwaka kuna za kufungia mwaka.... Zote hizi huhitaji damu na nyama
 
7e3d752ec883378604864d9ace8af758.jpg

/b17ba8271b7c20e0e968db269cb41091.jpg[/IMG]
c0d17eefe9ad8baee4795a7237df6a98.jpg
b47407c8a59120e2649a743af61fc298.jpg
94958cb7246ad70299d7b532b6b825b9.jpg
 
Back
Top Bottom