Huyu hatishi sana, chui aisee hana maana




jamani kijijini kwetu noma
Hyo zarau kwakeli!of course leo umetupatiamo!
japo umesahau kuwaambia wana JF kwamba JAMII FORUMS ni ya mdogo wa babu yetu. aba ghorofa 7 na Prado ya wakata majani ya NGOMBE.
IN FACT tukashoma until no class ahead!
mshana jr oleke ezarau. ongambira STUPID INFRONT OF MY WIFE. kaziro wanzaririsha!
tags:
*dr rweikiza ishengoma-PHD holder na lecturer Oxford university
*prof. muganyizi Ceo kiwanda cha kukoboa nsenene
Hii itakuwa kule maeneo ya kilimani
Take it easy with JF... Hakuna sehemu napapenda kama Lushoto.. Waliowahi kufika wanajua namaanisha nini... Kilichotokea kwenye hii mada ni vita ya siku zote ya Dar vs mikoaniSema mr mshana 'mikoani' umepatazama kama vile wazungu wanavyopatazama afrika. Hahaha. But its not a big deal. Huku mikoani tunaishi katika ustaarabu hasa. Dar kwenu huko kukuta sistaz na brazaz wanatengenishwa na pazia wakati wa kulala ni kawaida. Huko kwenu mgeni akija mnatamani mkamshtaki 'msosi'. Huku 'mikoani' ukikutana na mtu barabarani na amependeza ukifuatilia hata anapoishi ni pazuri mno, ila huko 'kwenu' kukutana na bidada amejikwatua mkononi na iphone, mjamaa yuko kwenye gari lakini anapoishi huku 'mikoani' ni nyumba ya shambaboy wangu. Hahahaha. Karibuni mikoani, sema huku hakuna ujanja ujanja u got to work hard to earn
Take it easy with JF... Hakuna sehemu napapenda kama Lushoto.. Waliowahi kufika wanajua namaanisha nini... Kilichotokea kwenye hii mada ni vita ya siku zote ya Dar vs mikoani
Take it easy with JF... Hakuna sehemu napapenda kama Lushoto.. Waliowahi kufika wanajua namaanisha nini... Kilichotokea kwenye hii mada ni vita ya siku zote ya Dar vs mikoani
Watani wa jadi
Nimeyasoma mabandiko yako yaliyopita na kukubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Ila hapa kwenye bandiko hili ni upotoshaji.but on serious note, nimekaa na 'watu wa dar' wana very sharp mind, huwa nawaza kwa akili yao wakikaa huku kwa opportunities zilizopo, within 5 yrs mtu anakua 'dangote'.