Taborian
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 192
- 225
Nimeyasoma mabandiko yako yaliyopita na kukubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Ila hapa kwenye bandiko hili ni upotoshaji.
hahaha! Prove me wrong
Nimeyasoma mabandiko yako yaliyopita na kukubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Ila hapa kwenye bandiko hili ni upotoshaji.
Umesema hivi “Watu wa Dar wana sharp minds! Wakikaa vijijini kwenye opportunities,wanaweza kutumia fursa na kuwa kama Dangote”hahaha! Prove me wrong
Hapo nakataa.. msabato asingevaa hiyo rozari, pia angalia kule kuna mtu kavaa barakasheHiyo kama lesoni ya kanisa la waadventista wasabato![]()
......![]()
![]()
![]()
![]()
nakuona na dada zako
Shemeji umeeahau kwenu ugwenuWa mikoani wamelalamika sana kuwa nimewatenga sijaweka post kuwahusu... Basi hii sasa ni zamu yao watiririke kwa raha zao.. Japo huko kunaweza kuwa na vituko tofauti kabisa na Dar.. Kwa mfano kwenye ishu ya mahusiano mikoani wengi humalizana vichakani na maporini.Gesti huko sio nyingi kivile
Mikoani si jambo la ajabu kukuta gesti house ndani choo cha shimo. Kesi za watu kuumwa na wadudu porini wakiwa kwenye malovee ni za kawaida sana
Mikoani watu wakiumwa cha kwanza hawaendi hospital bali kwa waganga wa kienyeji.
Visa vya mikoani vinaweza kupiku dar.. Ni aghalabu kukuta breakdown mikoani... Hiki ndio unaweza kukutana nachoView attachment 684535
Visa vya mikoani vinaweza kuwa kwenye makundi
Tanga... Wanasema mapenzi yalikozaliwa... Hakuna mkoa unaoogopeka kwa mapenzi, ushirikina wa ndele na mvuto kama Tanga... Story za wapenzi majini... Vifuu vunavyoongea ama wanyama.. Story za kubashiwa live nknk... Umeshawahi kusikia ya mwembe basha?
Tanga inaweza kuwa kiwakilishi cha pwani yote mpaka Zenji kwenye mitaa kama mfereji matako , kibanda maiti nk
Ngoma maarufu ya baikoko asili yake Tanga
Kilimanjaro na Arusha... Wazee wa arifu... Pesa ndio kila kitu huko.. Kuna mixer ya wamasai wapare wachaga wambulu nk... Wezi, bahili wachumi wasomi... Huku kuna sensa ya kila mwaka December... Mtu yuko tayari ajinyime mwaka mzima ili akaonyeshe sifa kwao.. Ni wapenda sifa na maendeleo pia... Vipi ushamba?
Moshi kuna mitaa kama kisambo (kisa mbo*..)?
Mikoa mingine karibuni sana.. Hasa ile inayosifika kwa kupenda rangi... Sifa! Ubabe.. Ukatili.. Uchawi... Umbea.. Majungu... Fitina... Nknk
Mkoa pekee wenye vilema wengi na ngeu za kutoshaMkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao upendo huonyeshwa kwa vipigo... Ni mkoa pekee ambao karibu kila nyumba haikosi mtuhumiwa wa mauaji na ndio mkoa pekee wenye death rate kubwa kutokana na kuuana... Kule ni MURA VITA NI VITA MURA
Leta habari za mwanga to ugweno tuone kwanza maana wewe ni wa mkoaniHapana shemeji
Kiongozi ....Huyu ndie aliyesababisha kule zenji kuwe na mtaa wa mchambawima