Hapa tukiangalia juu juu tunaweza kutoa ushauri mbovu wa kuharibu ndoa! Nawashauri wadau msichukulie poa poa sana!
:focus:
Kitendo cha kusema hana kazi na mambo yote unafanikisha wewe, huo sio uungwana! Mwenyewe si umesema kama anahangaika kutafuta?
Naamini hayo manung'uniko yako yamerise kwa kasi kubwa baada ya kuona masuala ya misosi unafanikisha wewe! Unataka malipo kana kwamba naye achukue jukumu lako! Naamini akiosha vyombo utafurahia kitu ambacho si kizuri!
Hizo kazi unazonung'unikia hapo ni wajibu wako wa msingi!
Nakubaliana nawe 100% kwamba mapenzi ni kusaidiana! But unahitajika kuwaza zaidi ya hapo! Kitendo cha kufukuzwa/kusimamishwa/kuacha kazi kimeathiri huyo mmeo! Kisaikologia ana adjustment disorder! Unatakiwa kumpa moyo na kumfariji na sio kumnung'unikia tu!
Nna uhakika huyo mme anakupenda sana!
In nature kuna me hawapendi kufanya kazi ulizojitaja especially wanapokutwa na majanga eg: kufukuzwa kazi!
Huenda huyo mmeo anajiuliza hivi: "Kwa kua sina kazi, na kwa vile mkewa wangu ana kazi na anawajibika, jee fact hizo zinifanye nifanye kazi za kike? How if ikiwa ni ubushoke? Kwanini kufukuzwa kazi iwe sababu ya kuondoa amani yangu!
...
Nakushauri kaa naye chini uongee naye kwa upendo, acha kumlalamikia sana! Malalamiko hayajengi yanabomoa tu! Naamini na nitaendelea kuamini kwamba ukifanya hivyo mtaishi kwa amani!
...
Waweza pita na hapa huenda ukajifunza kitu: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/696522-makundi-manne-ya-binadamu.html
Wish you all the best!
Stress zinamfanya nini mtu?
Je mwanamke nae akiwa na stress awe hivyo?
Hiyo ni tabia tu ya mtu kiukweli.
Hata kama una stress ukikaa na mtoto na kucheka nae stress zinapungua.
Wanawake ni watu hatari sana,utakuta hata hyo nyumba wanayoishi kaikuta ajawai kulalamika imejengwaje gari, analotumia pia hivohivo.ni mambo mangapi mmeo kakufanyia kipindi ajawa block.?yote hayo umeyasahau umeamua kumnanga mmeo.?ukiyoka kazini ukaandaa kitanda itakukost nini.?ithought it feels gud to prepare a bed gor ur husband.hapa tatizo ni kazi na wanawake ndo mlivo kutoa hela ya mboga na hela ya chakula unaona umeingilia majukum ya watu na hicho hasa ndo kinachokusumbua hayo mengine umejazia tu.hela zenu ni za salon kusuka nywere na pedecure.
Hivi Ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks God kamshahara kangu kanasaidia kucover matatizo yote ya nyumbani ingawa sio kama tukiwa wawili. Kinachonichosha sana ni ratiba ya mme wangu.
Mimi nina watoto wawili wa kiume mmoja 5 years na mwingine 9 month. Mme hata mtoto akiwa analia eti yeye hawezi kumbembeleza anamwangalia tu ukimuuliza anasema yeye amfanyeje wakati hana maziwa ya kumnyonyosha, mimi hapa usiku silali mtoto anasumbua asubuhi kuamkia kazini, jioni kufika kumwangalia mtoto na kuandaa maakuli ya familia.
Nina binti anaenisaidia nikiwa kazini. Lakini mme anaamka saa nne kitanda hagusi kutandika mpaka nitoke kazini nakikuta hivyo hata net haijatolewa kutandika ndio basi tena pia hata akivua nguo za ndani atarundika hapo nije kufua mie.
Anapiga mswaki na kukaa kwenye kochi kusubiri atengenezewe chai na apelekewe, atabadilisha chanel mpaka lunch atakula atabadilisha Chanel zake baadae anawasha gari kwenda kutembea. Saa mbili au saa tatu atarudi atakula atakamata tena remote mpaka saa sita ataingia kulala na ukali sasa kitu kidogo tu manung'uniko.
Hivi jamani wanaume mkioa kazi yenu huwa inakuwa kutoa matumizi ,kula na kulala tu?
Hakuna mnachoweza kusaidia?
Ladies hivi wote mko kwenye hali hii??
Yaani nakubaliana na wewe kabisa. Mwanamke akikupa mia yake ataifuatilia hadi ushike adabu yako. Ila huyu nampongeza, anamuwekea mafuta pia jamaa anaweza kuzurura? Mwanamke mwingine angemuacha hapo achine!
Ndiyo ilivyo kaka,mm ni mhanga wa hii kitu nilikuwa naitwa kama mvivu na nisiyejielewa hasa anaanzisha mazungumzo haya ya dharau mkiwa mna wageni au mnakula!
Ni shida
Duuh!! Imeniuma kaka hebu tupe uzoefu wako liliishaje?? Wanawake ni viumbe wa kukaa nao kimtego mtego ukijiachia unaumbuka
Yaani nakubaliana na wewe kabisa. Mwanamke akikupa mia yake ataifuatilia hadi ushike adabu yako. Ila huyu nampongeza, anamuwekea mafuta pia jamaa anaweza kuzurura? Mwanamke mwingine angemuacha hapo achine!
Yani hivi ndivyo inavyokuwa ikitokea mwanaume umepata matatizo kazini huku mkeo akiwa kazini! Kwa hiki ulichoandika nadiriki kusema huu ni u-self centred at it best level!
Yani mume wako yupo katika kipindi cha mpito cha kula bench (jobless), halafu wewe kwa akili zako fupi unakuja kumuanika humu mitandaoni!? Naamini kama huyo mumeo angejua your inner part ikoje asingekuoa in the first place regardless of how much he loves you. Hii tabia ni ya ajabu sana!
WanaJF, binafsi natambua kama maisha yana ups and down za kutosha tu, mara leo unacho kesho huna, hayo ndio maisha. Sasa ikitokea una mwenza wa aina hii (kama huyu mleta mada), si ndio kitakuwa chanzo cha kupata msongo wa mawazo? Tena ushukuru mumeo hata pombe anywi!
Hivi Ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks God kamshahara kangu kanasaidia kucover matatizo yote ya nyumbani ingawa sio kama tukiwa wawili. Kinachonichosha sana ni ratiba ya mme wangu.
Mimi nina watoto wawili wa kiume mmoja 5 years na mwingine 9 month. Mme hata mtoto akiwa analia eti yeye hawezi kumbembeleza anamwangalia tu ukimuuliza anasema yeye amfanyeje wakati hana maziwa ya kumnyonyosha, mimi hapa usiku silali mtoto anasumbua asubuhi kuamkia kazini, jioni kufika kumwangalia mtoto na kuandaa maakuli ya familia.
Nina binti anaenisaidia nikiwa kazini. Lakini mme anaamka saa nne kitanda hagusi kutandika mpaka nitoke kazini nakikuta hivyo hata net haijatolewa kutandika ndio basi tena pia hata akivua nguo za ndani atarundika hapo nije kufua mie.
Anapiga mswaki na kukaa kwenye kochi kusubiri atengenezewe chai na apelekewe, atabadilisha chanel mpaka lunch atakula atabadilisha Chanel zake baadae anawasha gari kwenda kutembea. Saa mbili au saa tatu atarudi atakula atakamata tena remote mpaka saa sita ataingia kulala na ukali sasa kitu kidogo tu manung'uniko.
Hivi jamani wanaume mkioa kazi yenu huwa inakuwa kutoa matumizi ,kula na kulala tu?
Hakuna mnachoweza kusaidia?
Ladies hivi wote mko kwenye hali hii??
Ndiyo ilivyo kaka,mm ni mhanga wa hii kitu nilikuwa naitwa kama mvivu na nisiyejielewa hasa anaanzisha mazungumzo haya ya dharau mkiwa mna wageni au mnakula!
Ni shida
Ha ha ha ha! Mkuu utakula nini akiondoka? Bibie si ndio anasimamia shoo nzima? Usije kwenda kumbembeleza kwao kwa magoti na machozi.we mwanamke wewe leo lazima nikulime talaka urudi kwenu
Alaaa.......!! Yaani umeona bora uje unianike huku aise leo utanitambua ngoja urudi huko kibaruani kwako utakuta nishatoa kila kitu nje
Ndoa haziendi kimikwara hivyo. Siku za neema akitoka ilikuwa sio kuzurura, akitoka leo kwa mafuta ya mke ni kuzurura! Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!
Na halafu kwamba 'angemuacha achine', yaani mnaona hiyo ndoa mume kaing'ang'ania sana au? Kuna kanuni moja:Mwanamume yeyote anaweza kuwa mume kwa mwanamke yeyote, na mwanamke yeyote anaweza kuwa mke kwa mwanamume yeyote.
Kwa mantiki hiyo basi, wawili hao hakuna anayelazimika kukaa na mwenziwe; ni makubaliano ya hiari tu. Kama mnaona mwanamume 'atachina' basi huyu mkewe na amuoneshe mumewe hii mada tunayoijadili hapa kisha atambue kumbe boxer zake zimeanikwa JF, kama hamtamuanzishia mwenzenu uzi mwingine wa kumtafutia chumba mtaani. Maneno ya udhalilishaji na nyodo siku zote humpeleka mtu pabaya!
Pole mwaya,Mume wako ni mvivu tu mwenzangu looh,ni vizuri ukimwambia ukweli kua tabia zake zinakukela,kwani hata wewe ni binadamu na unahitaji kupumzika pia,lakini mwambie kwa lugha laini na ya upole,naimani atabadilika.
Pole sana mkuu Malafyale,,,,hii post imenisikitisha kweli...ila nashukuru kwa busara za wana MMU wamemjibu vizuri sana nami sina la kuongeza....On ur side I hope umesolve issue sasa
Big upo King'asti, Heart, nyumba kubwa PATIENT ZERO na wengine uzoefu wenu unaonekana
Hivi Ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks God kamshahara kangu kanasaidia kucover matatizo yote ya nyumbani ingawa sio kama tukiwa wawili. Kinachonichosha sana ni ratiba ya mme wangu.
Mimi nina watoto wawili wa kiume mmoja 5 years na mwingine 9 month. Mme hata mtoto akiwa analia eti yeye hawezi kumbembeleza anamwangalia tu ukimuuliza anasema yeye amfanyeje wakati hana maziwa ya kumnyonyosha, mimi hapa usiku silali mtoto anasumbua asubuhi kuamkia kazini, jioni kufika kumwangalia mtoto na kuandaa maakuli ya familia.
Nina binti anaenisaidia nikiwa kazini. Lakini mme anaamka saa nne kitanda hagusi kutandika mpaka nitoke kazini nakikuta hivyo hata net haijatolewa kutandika ndio basi tena pia hata akivua nguo za ndani atarundika hapo nije kufua mie.
Anapiga mswaki na kukaa kwenye kochi kusubiri atengenezewe chai na apelekewe, atabadilisha chanel mpaka lunch atakula atabadilisha Chanel zake baadae anawasha gari kwenda kutembea. Saa mbili au saa tatu atarudi atakula atakamata tena remote mpaka saa sita ataingia kulala na ukali sasa kitu kidogo tu manung'uniko.
Hivi jamani wanaume mkioa kazi yenu huwa inakuwa kutoa matumizi ,kula na kulala tu?
Hakuna mnachoweza kusaidia?
Ladies hivi wote mko kwenye hali hii??