kweli ndugu yangu wewe umenena
Huyu mwanamama alichokosea hapo ni vile tu alivyosema mmewe yuko home akitafuta kazi ,Sioni kama kaonyesha dalili za kumchoka mwenzi wakeila anaamini mmewe angeweza kumpa tafu ya mambo madogo madogo kama kukoroga chai yake mwenyewe wakati yeye akiwa busy na mambo mengi,au kusaidia kumbembeleza mwanae..
Bado kasema analazimika kufanya kazi na mtoto mgongoni wakati mmewe yuko busy na remote
Pia Kutandika kitanda ina maana mkewe akiumwa au kwa namna moja au nyingine hayupo nyumbani net inaweza kukaa kitandani mwezi mzima haijafuliwa ,haijatolewa kitandani na mashuka hayajabadilishwa ?
Huyu mama sijaona anasema anaomba mmewe aoshe vyombe ,adeki ,au apike ila amesema hata Chai kweli hawezi kujitengenezea?
Duh harafu naona wanaume wengi wanatetea
Msinimeze naomba kujua ina maana asili ya mwanaume ni Uchafu???
Please !!@Matola @Aspin
RR Kaizer Mtambuzi ..na wengineo wengi comment zenu