Vitu vinavyonikera ndani ya ndoa

Vitu vinavyonikera ndani ya ndoa

Naam Vaislay wako wanaume wa hivyo ndani ya ndoa lakini cha kushangaza hapa husikii wapigiwe debe bali ni manung'uniko tu ya wale wenye tabia za ajabu ajabu kama huyu, wachafu, hawajali wake na watoto wao, wanadhani mke ni house girl yeye hata kuondoa glass mezani baada ya mlo hawezi. Ahsante sana kwa bandiko hili.

hmmm kwanza pole...huyo mumeo bana anamatatizo...
Sio wote kwenye hali hiyo..kuna wanaume wengine wako safi mpaka raha,unasaidiwa kufua,kulisha mtoto,yaani kazi zooteee pale msaada unapohitajika/anapoona ni vyema kufanya...lakini kumbuka hiyo inategemea na malezi ya kwao..Mtu ambaye hajawahi kufanyishwa mazoezi ya kazi kwao usitarajie atakuja kufanya baadae.
Ikumbukwe pia mwingine anakuwa anajua kazi ila kufanya/kukusaidia anaona utamdhalau kuonekana mume ----- au kwakuwa hana kazi,kwahiyo hapo anajitutumua aonekane bado yumo..
 
Last edited by a moderator:
Huyo atakuwa na frustrations. Tumia busara kuongea nae na kumuonyesha upendo. Amin nakuambia akija kupata kazi atakukumbuka sana katika ufalme wake
 
Daaah inawezekana tunafahamiana mkuu!Sibonike ni maarufu sana na sidhani kama kuna mzawa wa Kyela hapafahamu!

Ukija Kyela japo kwa likizo alert me hommie tupate angalau tubia tuwili pamoja
Utingapasyaga gwa kikolo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom