mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 539
kama wewe ni me utakuwa wa ajabu sana, mke akulishe, akuvishe na kila kitu akufanyie, pengine hata peteol ya kupuyangia anakupa, unashindwa kumsaidia hata kumtuliza mtoto wenu huku mama akifanya shughuli nyingine za ndani, eti kisa kuna wengine wanatafuta kuolewa hawapati wa kuwaoa. Wanaume tuache tabia chafu kama hizi unazojaribu kuonesha hapa. Lakini kama wewe ni ke, bado hujitambui hata kidogobest tatizo kuu ni kuwa jamaa hana kazi...awa wanandoa wana mtoto wa miaka mitano ila baba hakuwa mzembe ila leo kuna mtoto ana miezi9 , hana kazi ndo misala imeanza...ukichanganya kutokuwa na kazi, stress plus kutotenda majukumu ya kuilisha familia ndo basi kila lawama itamzukia baba...kuna siku akirudi msitarini hautakaa uyasikie aya!! ujue kuna wadada mjini wana nyuma nzuri na zenye insurance, wana pesa na magari yenye bei na isurance , yaani yapo mpaka waamue kudispose....ila tu wanshinda kwa sangoma kusaka wachumba, wengine wanalalwa ili dawa iwaingie ili wapate wachumba maskini wanatapeliwa...wengine mna ndoa mnashangaa eti ooh mume wangu---- ajabu!!