Vitimbwi na hila zote za nini? Mlikubaliana wawili kwa hiari kukaa pamoja, ya nini leo kutafutiana presha, moyo na sukari?
Kuwa mkweli kuliko undani wote huo. Uliingia kwa hiari, toka kwa hiari pia. Kwani ni lazima kukomoana hadi mtu atoke roho ndio uone umuhimu wa kukaa peke yako? Kwa nini ung'ang'anie ndoa kihivyo, kwani dunia nzima mwanamume ni huyo tu?
Hoja kama ni hadi mtenganishwe na kifo, je, ukiwekewa panga kooni utasubiri kuchinjwa ili tamko litimie?
Inaudhi sana unapopanga mbinu za kumkomoa mtu kisa kachoka kimaisha; unafikiri bila wewe hataishi? Ni vile akili ni nywele, kila mtu ana zake; angeliujua uzi huu maneno yote yasingefikia hapa!
Hivi Ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks God kamshahara kangu kanasaidia kucover matatizo yote ya nyumbani ingawa sio kama tukiwa wawili. Kinachonichosha sana ni ratiba ya mme wangu.
Mimi nina watoto wawili wa kiume mmoja 5 years na mwingine 9 month. Mme hata mtoto akiwa analia eti yeye hawezi kumbembeleza anamwangalia tu ukimuuliza anasema yeye amfanyeje wakati hana maziwa ya kumnyonyosha, mimi hapa usiku silali mtoto anasumbua asubuhi kuamkia kazini, jioni kufika kumwangalia mtoto na kuandaa maakuli ya familia.
Nina binti anaenisaidia nikiwa kazini. Lakini mme anaamka saa nne kitanda hagusi kutandika mpaka nitoke kazini nakikuta hivyo hata net haijatolewa kutandika ndio basi tena pia hata akivua nguo za ndani atarundika hapo nije kufua mie.
Anapiga mswaki na kukaa kwenye kochi kusubiri atengenezewe chai na apelekewe, atabadilisha chanel mpaka lunch atakula atabadilisha Chanel zake baadae anawasha gari kwenda kutembea. Saa mbili au saa tatu atarudi atakula atakamata tena remote mpaka saa sita ataingia kulala na ukali sasa kitu kidogo tu manung'uniko.
Hivi jamani wanaume mkioa kazi yenu huwa inakuwa kutoa matumizi ,kula na kulala tu?
Hakuna mnachoweza kusaidia?
Ladies hivi wote mko kwenye hali hii??
unamuona yuko hivyo sababu hana kazi alivyokua nayo hayo hayakuonekana,..nakushauri achana nae coz ni kero kwako.Endelea kuwalea watoto mwenyewe si unajimudu kwa sasa.Hivi Ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks God kamshahara kangu kanasaidia kucover matatizo yote ya nyumbani ingawa sio kama tukiwa wawili. Kinachonichosha sana ni ratiba ya mme wangu.
Mimi nina watoto wawili wa kiume mmoja 5 years na mwingine 9 month. Mme hata mtoto akiwa analia eti yeye hawezi kumbembeleza anamwangalia tu ukimuuliza anasema yeye amfanyeje wakati hana maziwa ya kumnyonyosha, mimi hapa usiku silali mtoto anasumbua asubuhi kuamkia kazini, jioni kufika kumwangalia mtoto na kuandaa maakuli ya familia.
Nina binti anaenisaidia nikiwa kazini. Lakini mme anaamka saa nne kitanda hagusi kutandika mpaka nitoke kazini nakikuta hivyo hata net haijatolewa kutandika ndio basi tena pia hata akivua nguo za ndani atarundika hapo nije kufua mie.
Anapiga mswaki na kukaa kwenye kochi kusubiri atengenezewe chai na apelekewe, atabadilisha chanel mpaka lunch atakula atabadilisha Chanel zake baadae anawasha gari kwenda kutembea. Saa mbili au saa tatu atarudi atakula atakamata tena remote mpaka saa sita ataingia kulala na ukali sasa kitu kidogo tu manung'uniko.
Hivi jamani wanaume mkioa kazi yenu huwa inakuwa kutoa matumizi ,kula na kulala tu?
Hakuna mnachoweza kusaidia?
Ladies hivi wote mko kwenye hali hii??
hivi ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks god kamshahara kangu kanasaidia kucover matatizo yote ya nyumbani ingawa sio kama tukiwa wawili. Kinachonichosha sana ni ratiba ya mme wangu.
Mimi nina watoto wawili wa kiume mmoja 5 years na mwingine 9 month. Mme hata mtoto akiwa analia eti yeye hawezi kumbembeleza anamwangalia tu ukimuuliza anasema yeye amfanyeje wakati hana maziwa ya kumnyonyosha, mimi hapa usiku silali mtoto anasumbua asubuhi kuamkia kazini, jioni kufika kumwangalia mtoto na kuandaa maakuli ya familia.
Nina binti anaenisaidia nikiwa kazini. Lakini mme anaamka saa nne kitanda hagusi kutandika mpaka nitoke kazini nakikuta hivyo hata net haijatolewa kutandika ndio basi tena pia hata akivua nguo za ndani atarundika hapo nije kufua mie.
Anapiga mswaki na kukaa kwenye kochi kusubiri atengenezewe chai na apelekewe, atabadilisha chanel mpaka lunch atakula atabadilisha chanel zake baadae anawasha gari kwenda kutembea. Saa mbili au saa tatu atarudi atakula atakamata tena remote mpaka saa sita ataingia kulala na ukali sasa kitu kidogo tu manung'uniko.
Hivi jamani wanaume mkioa kazi yenu huwa inakuwa kutoa matumizi ,kula na kulala tu?
Hakuna mnachoweza kusaidia?
Ladies hivi wote mko kwenye hali hii??
Hakika wewe ni mdada wa tofauti sana coz unabusara pia unajitambua,..aliye kuoa amepata kitu cha thaman sana.Big up*1000Umepata hata muda wa kuzungumza nae kweli?! Huu ni muda wa kumfariji na kuonesha upo pamoja nae katika kipindi hiki kigumu,pengine unam-mistreat maana unajiona ushakuwa 'fazahaus'... Zungumza nae kwa upendo,hakuna mwanaume timamu anaekubali kuwa chini ya mwanamke.. Sidhan kama ulikumkuta na kiburi hicho mlipoanza,wakati mwingine kiburi kinajengeka humo humo ndani ya nyumba...
Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe,...Huyu mleta mada hajakuwa wazi sana kuhusu mazingira yote ya ndoa yake. Hata hivyo hapa hapakuwa mahali muafaka sana pa kukimbilia, ilikuwa kwanza waongee wenyewe ikishindikana ndio achukue hatua zingine.
Asili ya ndoa ni watu wawili, na ina stara yake. Kumjadili mume au mke hadharani hivi ni kuidhalilisha ndoa pamoja na wewe mwenyewe, labda kwa jambo lilnalofanania jinai ambalo ni lazima jamii ijue. Mume katoswa kazini, yuko frustrated tena bado katulia nyumbani hana vituko wewe tayari ushamvua nguo zote hapa jamvini! Kwani kabla ya hapo alikuwa anakuoshea vyombo? Hapa unataka ushauri gani sasa, si aibu yenu hiyo?
Mpende mumeo kama ulivyokubali kuolewa, setirianeni, kukiwa na tatizo fuata taratibu za ndoa na ndio maana kuna wasimamizi wa ndoa. Mume kakosa kazi muda mfupi hivi malalamiko kibao tena hadharani, ungeilisha familia wewe siku zote ingekuwaje? Si ndio kuishi pamoja kwa raha na shida?
Hayo hayakuwa mapenzi ya kweli gwa kukaja!...Ndiyo ndoa za siku hizi usipoleta kitu home anakuhesabia siku!Mm ishafukuzwa mara 2 tena usiku wa manane baada ya kuishiwa ili hali wkt nina pesa walionyesha mapenzi ya kweli!!
Kama ilivyo kufunga ndoa ni hiari ya mtu pia kuachana ni uamuzi wa mtu binafsi. Huwa hatushauriwi kuachana ila yakifika kooni na yakikushinda unaachana mwenyewe bila hata kushirikisha watu. Huyu bado hajafikia stage ya kuachana ndio maana anaomba ushauri.
Hata kukaa bila kazi wala haikukeli kwa mwanaume ni kitimbi pia na ni aibu, kama ulikuwa hujui hakuna mwanamke anayetaka kuwa na mwanaume asiyejishughulika. Kuwa baba wa familia ni majukumu kwenye familia sio kuuza sura. Unatakiwa kuhakikisha familia inapata huduma zote. Kuendelea kumlea ni sawa sawa na kukumbatia bomu ambalo linaweza kulipuka wakati wowote. Lazima apate mrejesho ili akili iweze kufanya kazi.
Hayo hayakuwa mapenzi ya kweli gwa kukaja!...
Kwa sibhonike mkuu,...kama unaelekea kiwila kwa fasi ya ziwa nyasa!.....Kikolo Kajunjumele ipi unatoka?Kajunjumele ya Diwani Mujuni au kule kwa Korosso au hapa kwa akina Mwajeka?Au mpakani na Bunyongara na JWTZ? kajunjumele
sijaona sehemu umesema uliongea nae then hajabadilika... haya ya kifamilia mamii yanaeleweka mweleze kwa upendo kama ni mwelewa ataelewa your concern, NOTE:- Dont you ever mention issue ya yeye kutokua na kazi wakat unamweleza.. but in a way shows helping each other and sharing of responsibilities, na pia msikilize na yeye with respect. ni hayo tuu.
sorry sijaolewa lakin, i dont knw if that will make sense to you.
Mbona unazunguuka,..mwambie tu amwache ili mshahara wake usimuume.Yanini akonde bure?Mmeamini kuwa mwanaume asiyekuwa na hela ni mzigo usio bebeka? Anakuwa zoba hana msaada wa aina yoyote. Kero tupu.
Ushauri wangu ni kwamba. Bi dada endelea na majukumu yako kama kawaida, na wewe mkere kwa maneno ya kuudhi ili akatafute shughuli ya kufanya sio kuangalia TV. Usimpe hata shilingi yako, hata kwao kukiwa na shida inayohitaji attention yenu usijikombe kutatua.
Hakikisha watoto wako wanakula na wanapata huduma muhimu. Kuleni vizuri akirudi hiyo saa tatu mwekeeni mezani ugali na mchicha kila siku. Siku nyingine osheni masufuria akute hakuna chakula. Atatia Akili ku mkichwa.
Kwa sibhonike mkuu,...kama unaelekea kiwila kwa fasi ya ziwa nyasa!.....