Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

Kwa hapa Tz sifaham! Yeye aliyapata masuala hayo ulaya, na huwa ana attend sessions zake US! Baadae ni kama amerukwa akili ndio kapotea hatujui alipo!
Wote wanahangaika tu.

Kabala ndiyo imemfanya Britney Spears kadata naye kawa kama chizi
 
I hope to find him safe & sound
Haya mambo hata mini ilikuwa bado kidogo tu niingie kwenye temple la ma Buddhist milima ya Himalaya huko.

Nilikuwa na rafiki vyangu mmoja Buddhist monk alikuwa anataka sana.

Ila nikasema ngoja kwanza nikasafishe macho na kutafuta hela Wall St.

Mpaka leo nashukuru sana kwa uamuzi wangu ule.

Sasa hivi ndugu zangu wangekuwa wananisikia kwenye bomba tu. Ningekuwa kama nimekufa.

Kwa imani ya vitu visivyoyumkinika wala kuonekana.
 
Kiranga chako kama huamini,,,,,,,uthibitisho kua mungu yupo ni dunia,,,,haijashikwa na kitu chochote,,hakuna nguzo,,,walapaaa ,,,,kingine ni nafsi yako,,au roho yako,,,
 
Unajuaje kwamba uwezo wa mungu ni mkubwa wakati wewe binadamu huna uwezo wa kumfahamu na mungu kajificha?

Kwa nini mungu muweza yote na mwenye upendo wote anajificha?

Kujificha ni tabia ya mabaya. Wezi, waovu etc. Si tabia ya mwenye uwezo na upendo.

Kwa nini mungu huyu ajifiche? Anaogopa nini?
Hahahaa ndugu yangu alikosea Mungu hajajificha yupo, ila shetani ameweka mitego ili kutuweka mbali na yeye na hapo ulipo ukimuomba kwa imani hakika atajidhihirisha kwako..
 
Mlaleo
Nasikitishwa maelezo yako ya mwanzo eti kwamba watu wanapaa anga zote.Wakati NASA majuzi wanadai wamegundua sayari inayofanana na dunia hii ila wakadai mwendo wa kwenda huko ni miaka 600 kwa mwendo wa mwenge yaani kimondo.Pengine haujafahamu upana wa anga na ndio maana umerahisisha kwamba wanapaa anga zote.
Kuhusu dunia ni tambarale hio maelezoyake yapo kwenye Isostence adjustiment theory,ambapo uthibitisho wa wanasayansi wa leo wamekubaliana kwamba, vina vya bahari na maziwa ikitokea maji yake yamekauka, kisha ikajazwa milima iliopo hakuna bonde litakalosalia bali dunia itasawazika."Aliemuongoa Mwenyezimungu hakuna wakumpotosha,na aliemtoa katika njia yake hakuna wakumrejesha" Nakushauri urudi ktk njia kuu njia sahihi ambayo Mungu wametuwekea kwa faida yetu.
Uko vyema sana na umepanuka YHWH akuongezee maarifa..
 
Haya mambo hata mini ilikuwa bado kidogo tu niingie kwenye temple la ma Buddhist milima ya Himalaya huko.

Nilikuwa na rafiki vyangu mmoja Buddhist monk alikuwa anataka sana.

Ila nikasema ngoja kwanza nikasafishe macho na kutafuta hela Wall St.

Mpaka leo nashukuru sana kwa uamuzi wangu ule.

Sasa hivi ndugu zangu wangekuwa wananisikia kwenye bomba tu. Ningekuwa kama nimekufa.

Kwa imani ya vitu visivyoyumkinika wala kuonekana.
Bro was genius! Among top ten kitaifa form IV & VI wallah! Off to Europe for varsity studies! Very successful in studies! But refused to come back home! 25yrs later ndio akaanza kuongea stuff kama nnazoziona humu! Ghafula kapotea kabisaa! Waliomuona wanasema ni majnuni hajijui hajitambui!! Mara aonekane nchi hii au ile! Huu mwaka wa nne sasa! Hata sijui vipi tu hali yake! But hatujakata tamaa! We hope to find him one day!!
 
Hahahaa ndugu yangu alikosea Mungu hajajificha yupo, ila shetani ameweka mitego ili kutuweka mbali na yeye na hapo ulipo ukimuomba kwa imani hakika atajidhihirisha kwako..
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?
 
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?
Wewe Kiranga umeshakuwa mtu mzima sasa, na umeshaaminishwa hayo unayoyaamini kwa miaka mingi sasa mimi kukuhakikishia hapa itakuwa ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, wewe kama ni ualimu basi umeshafuzu kuwa mwalimu wa wapagani (wale wasioamini Mungu yupo) mimi hapa hutanielewa kabisa mzee Kiranga.. maana mambo yako wazi kabisa, wewe utaamini siku ukimuona Mungu huyo hapo live na akakuthibitishia hayo ikiwezekana akakuonyesha kwenye TV jinsi alivyoumba teh teh
 
Nitoe ushamba kidogo mwana kabala ndo yukoje
Usiombe mkuu! Hiyo ni imani fulani pendwa na watu maarufu kama Madona na wengineo! Ukiingia humo hutoki salama! Muulize kiranga atakuhadithia zaidi! Hapa kwetu sijaona lkn waumini wanaweza kuwepo
 
Kwa mtazamo wangu wewe ndiye hujielewi zaidi yake.Hivi hadi leo nyie watu mpo ?,mnaoamini kwamba et mungu(kama yupo)alimtuma mwana wake wa pekee sijui yesu aje kutukomboa?,so what?.Hakuna hata logic katika jambo hilo ni kitu ambacho hakina maana.Who is yes after all? Aisee
 
Wewe Kiranga umeshakuwa mtu mzima sasa, na umeshaaminishwa hayo unayoyaamini kwa miaka mingi sasa mimi kukuhakikishia hapa itakuwa ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, wewe kama ni ualimu basi umeshafuzu kuwa mwalimu wa wapagani (wale wasioamini Mungu yupo) mimi hapa hutanielewa kabisa mzee Kiranga.. maana mambo yako wazi kabisa, wewe utaamini siku ukimuona Mungu huyo hapo live na akakuthibitishia hayo ikiwezekana akakuonyesha kwenye TV jinsi alivyoumba teh teh

Kwa taarifa yako tu, wapagani si watu wasioamini mungu yupo. Wazungu waliwaita mababu zetu wapagani kwa kuwa hawakuwa wanaabudu mungu sawa na waliokuwa wanamuabudu wao.

Jifunze mambo kabla ya kuandika.

Kukataa kuamini kwamba mungu yupo hakuwezi kuwa kuamini kama vile kunyoa kipara hakuwezi kuwa ni mtindo wa kusuka. Utasemaje naamini kwa sababu nimekataa kuamini mungu yupo? Sitaki kuamini, nataka kujua.

Mambo yaliyo wazi kabisa ni yapi?

Huyo mungu atakayenionyesha live nikimuuliza kwa nini kaacha watu kibao wamekufa bila kumjua kwa yeye kujificha na kutojionyesha live atajitetea vipi?
 
Kwa taarifa yako tu, wapagani si watu wasioamini mungu yupo. Wazungu waliwaita mababu zetu wapagani kwa kuwa hawakuwa wanaabudu mungu sawa na waliokuwa wanamuabudu wao.

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Hutaki kuamini!!? Sasa kama hutaki kuamini utajua vipi!!?

Yaani ni kama tupo shule ukasema Hutaki Kuyaamini masomo ya shule, sababu unataka kufaulu mitihani!! Utafaulu vipi mitihani wakati hutaki kuamini masomo yote darasani!?
 
Usiombe mkuu! Hiyo ni imani fulani pendwa na watu maarufu kama Madona na wengineo! Ukiingia humo hutoki salama! Muulize kiranga atakuhadithia zaidi! Hapa kwetu sijaona lkn waumini wanaweza kuwepo
Wanaamini nini hao raia?
 
Kwa taarifa yako tu, wapagani si watu wasioamini mungu yupo. Wazungu waliwaita mababu zetu wapagani kwa kuwa hawakuwa wanaabudu mungu sawa na waliokuwa wanamuabudu wao.

Jifunze mambo kabla ya kuandika.

Kukataa kuamini kwamba mungu yupo hakuwezi kuwa kuamini kama vile kunyoa kipara hakuwezi kuwa ni mtindo wa kusuka. Utasemaje naamini kwa sababu nimekataa kuamini mungu yupo? Sitaki kuamini, nataka kujua.

Mambo yaliyo wazi kabisa ni yapi?

Huyo mungu atakayenionyesha live nikimuuliza kwa nini kaacha watu kibao wamekufa bila kumjua kwa yeye kujificha na kutojionyesha live atajitetea vipi?

Ni wazi upo kwenye wakati mgumu sana, kiimani na unataka kujua Mungu wa kweli kwanini katelekeza wanadamu, swali ambalo kimsingi ukijiuliza kwa misingi ya Imani kuu kama ukristo, uislam, na hata uebrania unaweza kupata majibu yatakayokuwa na utata ndani yake, na ndiyo maana umeamua kujikita kwenye sayansi ya kidunia ili kutafuta njia itakayokupa tulizo rohoni, ingawa ukweli unapenda kujua huyo Mungu ni kitu gani na yupo au lah,
Kiufupi naweza kukuhadithia story ya Musa na kitabu chake cha (MWANZO) kiufupi kitabu kile kimeandikwa kwa fasihi sana, na hilo limekuwa ni tatizo kwa watu mpaka leo kwani wamekuwa hawaelewi vizuri kitabu kile.... Kifupi ninachoomba ujue ndugu yangu ni kuwa Mungu ninayetaka umjue, yeye aliumba Binadamu Wanne hapo mwanzo, katika MWANZO watu hao wametajwa kwenye 1.26 na kuthibitishwa kwenye 5.1,2 Watu hao waliumbwa mbinguni, sio hapa Duniani, na hao ndio waliokuwa na uwezo mkubwa zaidi kwa nguvu na Kutawala, Mungu huyo aliwapa watu hawa kazi ya kwenda kutawala Kila kitu Duniani, ila bahati mbaya zogo lilianzia hukohuko mbinguni ambapo Mwanamke mmoja kati ya wale watu wanne yaani Kwa kimisri, Atum, Amun, Ra, na Lilith huyu lilith alimsaliti mwenzie Atum na akaanza kutembea na moja ya malaika mbinguni, ambapo kitu kilichokuja kuzaliwa hapo walikuwa ni majini, hivyo Mungu uzao huo akawa hautambui akamfukuza Lilith mbunguni na huyo mmewe wa kimalaika na hao watoto wao yaani (Majini) Duniani na kuwatupa huko baharini..
Mungu akabaki na wale wanadamu watatu kule mbunguni akamtuma mmoja wapo yaani Atum aje aumalizie ulimwengu kwa maana ilikuwapo dunia, giza na Maji na tayari hao kina lilith na majini walikuwa wameshatupwa Duniani, so wao walikuwapo huko majini,
Atum alipokuja Duniani alifanya kazi aliyotumwa na Mungu wake, ambapo aliumba kila kitu unachokiona sasa kwa kufuata neno/agizo la Mungu, Atum ni mmoja ya miungu anayeabudiwa saana na mababu weusi wa Misri.... Kisha huyohuyo atum ndiye akamuumba mwanadamu mwingine kwa Udongo kwenye mwanzo 2:7 ingawa mle anatajwa kama ni Mungu,
Baada ya ulimwengu na wanadamu kukamilika Dunia ilikuwa ya kuvutia na kupendeza miongoni mwa malaika Mbinguni, baadae ndipo Mungu mbinguni akamshusha huyo aitwaye Amun, kwa mababu weusi wa kale wa misri, au Amen kwa waroma na ndiye wamchaye mpaka sasa wakimuita AMEN au Zeus kwa wagiriki, Huyo Amen na mwenzie RA walishuka duniani hapo ndipo kazi ya MUNGU mkuu wa mbinguni ikawa imekwisha..... maana alikywa ameshaumba Dunia na watawala hivyo dunia ilikuwa inajitegemea, na hao Amun Atum na Ra walipewa nguvu mpaka za kuwaamuru malaika..
Ukiachilia mbali nguvu Tofauti walizokuwa wamepewa kama vile Amun nguvu za radi, maji na nk, Sasa huku kwenye Mwanzo hakuna hata sehemu Moja iliyomtaja Mungu wa Mbinguni, yaani YHWH.. imekuwa ikizungumzia sanasana Amun, ambapo utajiuliza kwanini Mungu kwenye Mwanzo alikuwa hatabiri na kigeugeu! Mara anasema nakula kiapo sitawaangamiza mbele unakuta anaangamiza tena,! So kitu ambacho napenda ujue ni kuwa Mungu aliyezungumziwa kwenye kitabu cha kutoka tu, Mungu anayezungumziwa mle ni Amun, ambaye kiuhalisia si Mungu ni mwanadamu aliyepewa mamlaka ya kutawala, Hivyo Mungu YHWH yupo zake mbinguni, na kazi yake alishamaliza Duniani kwa kutuumba na kutupa viongozi, ila balaa linaanzia hapo ambapo utakuja kugundua kuwa katik uzao wa huyo Amun, kila mwanafamilia anajiita Mungu, Mungu wanakuwa wengi mpaka mtu anaona asiamini tu kama kuna Mungu, Ila kiuhalisia Mungu YHWH yupo na siku ambapo yeye atakuja kuigusa hii dunia hapo ndipo utakuwa mwisho wa kila kitu, huyo ndiyo mmoja apaswaye kuabidiwa kwa haki ila, kwa sasa Dunia bado ipo kwa aliowapa Dunia, maana ni alishaikabidhi kwenye mikono ya kina Amun, Atum, Lilith na Ra...
Magharika kama yale ya moto kutoka juu kama kwenye Sodoma na Ghomola ile ilikuwa ni kazi ya amun maana yeye alipewa nguvu za Moto, radi na Mvua, na sifa zake hizo zinajulikana kabla hata ya Musa hajaanza kuandika Vitabu kutoka kwa mababu Weusi wa kale wa misri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom