Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,673
umenena vema sana mkuu MigombaNi sahihi ukisema katika kitabu fulani hakijaeleza Mungu kuwa aliumba giza, kifo au njaa kwa kutumia vifungu ulivyosoma, lakini si sahihi kuhitimisha kwamba hakuumba. Nitakupa mfano mmoja, hata biblia inaposema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi haimaanishi kwamba hakukuwa na matukio kabla ya hapo bali hapo ndipo waandishi walipoanzia. hivyo kuhitimisha (conclude) kwa hiyo elimu ndogo ya dini uliyonayo sio sahihi ungehoji tu kwamba kitu fulani hakijafafanuliwa kwenye vitabu.
huyu mwenzetu sijui kayatoa wapi hayo mafact yake
maneno hapo mwanzo yanayopatikana kwenye mwanzo 1;1 ndo mwanzo pia wa mwanadamu kuanza utafiti wake,kabla ya hapo mwandamu anaanzaje kusema yale ambayo hayakuandikwa kwenye hiyo mwanzo?nani atamwambia na nani anayajua?hata wanasayansi waliobobea wanapoanza kumtafuta Mungu na kumwelewa wanaenda hapo hapo kwenye hapo mwanzo,maana hapo ndipo mwanadamu anapoweza kuanza kuijuia historia ya ulimwengu
anayeenda kinyume na hapo mwanzo au kujaribu kutueleza mambo kabla ya hapo mwanzo basi kajitungia na kama kajitungia maanake anasema uwongo tena usioweza hata kutetewa,na usio na ushahidi.