Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

Utasemaje kumuumba mwanadamu ambaye hajui mabaya ni kumuumba mtu asiyekamilika wakati mungu ndiye anayeamua kukamilika ni nini?

Sasa hivi wanadamu hatuwezi kurudi nyuma katika muda. Utasema hatujakamilika kwa sababu hatuwezi kurudi nyuma katika muda?
Kukamilika kwa kujua nyuma au kujua Future ni jambo ambalo wanadamu sisi hatuna, nitakuambia kwanini hatuna, ila wale watu wanne walioumbwa na Mungu wao Biblia inaeleza wazi kuwa waliumbwa kwa sura na kwa mfano wa Mungu, yaani walikuwa wanaweza kila kitu, si kujua nyuma au kujua Future! Hao walikuwa wamekamilika kila sekta..

Uzao wa sisi tunaochat humu kwa sasa Kwa Biblia ulianzia kwenye mwanzo 2:7, ambapo pale unaona Baada ya Mungu kuwa ameshawaumba Binadamu fulani kwenye Mwanzo 1,26 anamuumba binadamu mwingine kwa udongo, pia mtu huyo anapewa kazi ya kutunza Bustani, na si kutawala kama wale wengine kule, pia mtu huyu anakuwa hajui mema na mabaya ni yapi, yaani kwa mfano mwepesi mtu huyo ambaye aliumbwa alikuwa hana tofauti na wanyama kama mbuzi au nyani unaowaona leo, Ila tunafunzwa kuwa shetani alikuja kuharibu Dunia na hivyo kuwapa siri wale waliopewa kazi ya kutunza bustani, ambapo shetani akiwafungua macho kwa kuwapa matunda ya ule, mti wakala na kufunguka hivyo binadamu hawa wakawa wameingilia mpango wa Mungu sababu kwenye mpango maalum wao ilikuwa wawe kama punda, tu au kuku.. kwa ajili ya kuufanya utawala wa wale binadamu wanne ufanyike, yaani utawale, hivyo mzee kiasili sisi haikuwa tuwe tuna maarifa kama haya! Ilikuwa tuwe sawa na mifugo tu kwa hao watawala wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kutawala ulimwengu wote; sisi tukajichomeka kwenye mpango ambao kabla Mungu hakuupanga....
 
Kukamilika kwa kujua nyuma au kujua Future ni jambo ambalo wanadamu sisi hatuna, nitakuambia kwanini hatuna, ila wale watu wanne walioumbwa na Mungu wao Biblia inaeleza wazi kuwa waliumbwa kwa sura na kwa mfano wa Mungu, yaani walikuwa wanaweza kila kitu, si kujua nyuma au kujua Future! Hao walikuwa wamekamilika kila sekta..

Uzao wa sisi tunaochat humu kwa sasa Kwa Biblia ulianzia kwenye mwanzo 2:7, ambapo pale unaona Baada ya Mungu kuwa ameshawaumba Binadamu fulani kwenye Mwanzo 1,26 anamuumba binadamu mwingine kwa udongo, pia mtu huyo anapewa kazi ya kutunza Bustani, na si kutawala kama wale wengine kule, pia mtu huyu anakuwa hajui mema na mabaya ni yapi, yaani kwa mfano mwepesi ntu huyo ambaye aliumbwa alikuwa hana tofauti na wanyama hama mbuzi au nyani unaowaona leo, Ila tunafunzwa kuwa shetani alikuja kuharibu Dunia na hivyo kuwapa siri wale waliopewa kazi ya kutunza bustani, ambapo shetani akiwafungua macho kwa kuwapa matunda ya ule, mti wakala na kufunguka hivyo binadamu hawa wakawa wameingilia mpango wa Mungu sababu kwenye mpango maalum wao ilikuwa wawe kama punda, tu au kuku.. kwa ajili ya kuufanya utawala wa wale binadamu wanne ufanyike, yaani utawale, hivyo mzee kiasili sisi haikuwa tuwe tuna maarifa kama haya! Ilikuwa tuwe sawa na mifugo tu kwa hao watawala wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kutawala ulimwengu wote; sisi tukajichomeka kwenye mpango ambao kabla Mungu hakuupanga....

Sasa kama hatujakamilika hata sasa utasemaje kwamba mungu angekataza mabaya tungekosa kukamilika?

Hiyo ingekuwa point kama sasa tungekuwa tumekamilika, lakini kwa sababu hata sasa hatujakamilika, hiyo si point, ni excuse.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upend wote karuhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana uwepo wakati alikuwa na uwezo wa kutoruhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Hujajibu hili swali. Umetoa point fyongo ya kukamilika.Nimeipangua.

Huwezi kusema mungu hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ili tukamilike wakati hata sasa katika ulimwengu huu hatujakamilika.

Huyu mungu yupo au ni hadithi tu?
 
Sasa kama hatujakamilika hata sasa utasemaje kwamba mungu angekataza mabaya tungekosa kukamilika?

Hiyo ingekuwa point kama sasa tungekuwa tumekamilika, lakini kwa sababu hata sasa hatujakamilika, hiyo si point, ni excuse.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upend wote karuhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana uwepo wakati alikuwa na uwezo wa kutoruhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Hujajibu hili swali. Umetoa point fyongo ya kukamilika.Nimeipangua.

Huwezi kusema mungu hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ili tukamilike wakati hata sasa katika ulimwengu huu hatujakamilika.

Huyu mungu yupo au ni hadithi tu?
Noo hujanielewa nimesema Wanadamu ambao walikamilika ni wale aliowapa jukumu la kutawala tuu, wale ndio walikamilika kabisa...

ila wale watu walioumbwa kwa Ule Udongo hao ndio walijichomeka kwenye inshu ambayo hawakupangiwa wao!

Yaani kwa tafsiri nyepesi ni kuwa lile tunda la mema na mabaya hata wangekula panya, nao wangestuka kuwa wako uchi,! ndio mpaka sasa kungekuwa kuna panya wengine wanalalamika, kama wewe kuwa Mungu amewatelekeza! Hawapendi, ameweka mabaya, ila kumbe kiuhalisia Mungu aliwaumba panya ili wawe chakula cha paka na na kuchimbachimba mashimo porini,... Mwanadamu wa Udongo aliingilia mpango ambao yeye hakuwa aliyepangiwa...

Jaribu Kufikiria Una tafrija nyumbani na umealika watu saba maana ndio unaoona wanakufaa kwa tafrija yako ila badala yake wakaja hao watu saba, na N'gombe wako walioko kwenye zizi kama 1000 hivi utafanyaje?
 
Noo hujanielewa nimesema Wanadamu ambao walikamilika ni wale aliowapa jukumu la kutawala tuu, wale ndio walikamilika kabisa...

ila wale watu walioumbwa kwa Ule Udongo hao ndio walijichomeka kwenye inshu ambayo hawakupangiwa wao!

Yaani kwa tafsiri nyepesi ni kuwa lile tunda la mema na mabaya hata wangekula panya, nao wangestuka kuwa wako uchi,! ndio mpaka sasa kungekuwa kuna panya wengine wanalalamika, kama wewe kuwa Mungu amewatelekeza! Hawapendi, ameweka mabaya, ila kumbe kiuhalisia Mungu aliwaumba panya ili wawe chakula cha paka na na kuchimbachimba mashimo porini,... Mwanadamu wa Udongo aliingilia mpango ambao yeye hakuwa aliyepangiwa...

Jaribu Kufikiria Una tafrija nyumbani na umealika watu saba maana ndio unaoona wanakufaa kwa tafrija yako ila badala yake wakaja hao watu saba, na N'gombe wako walioko kwenye zizi kama 1000 hivi utafanyaje?
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao unaruhusu mabaya kama matabaka ya waliokamilika na wasiokamilika wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wa kuumba ulimwengu ambao hauna uwezekano wa kuwa na mabaya hayo kwa sababu kila kiumbe kimekamilika?

Unafananisha uwezo wangu ulio na mwisho wa kudhifu tafrija na uwezo wa mungu ambao unatakiwa kuwa hauna mwisho wa kuamua?
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao unaruhusu mabaya kama matabaka ya waliokamilika na wasiokamilika wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wa kuumba ulimwengu ambao hauna uwezekano wa kuwa na mabaya hayo?

Ndugu yangu jambo hili linataka busara ya kibinadamu tu kufikiria, hivi fikiria wanyama wote uwaonao majumbani na mwituni wangekuwa na utashi na akili kama sisi, Dunia ingekalika hii?!!


Na ndiyo maana Mungu akawapa mamlaka ya akili na utashi wale tuu aliowaumba kule Mbinguni, na kuwapa kazi ya kuja kuutawala ulimwengu ambapo kwa muda huo hata wale watu wa udongo waliokuwapo duniani hawakuwa na shida, kwenye utawala sababu walikuwa, hawana tofauti na wanyama uwaonao leo Duniani ila mpango huo alikuja kuuharibu shetani.

Mungu hakuumba matabaka kwa watu, ila hao watawala walipewa maumbo yanayofanana na sisi kabisa, inshort watu hao wapo mpaka sasa, na katika hali ya kawaida yule aliyeumbwa kwa udongo hawezi kushindana nao hao katu! Hao wana power kiasili na kila wanachotaka kiwe kinakuwa, hapo ndipo wewe unaanza kuona matabaka, ingawa kuna matabaka mawili tu Duniani, Masikini na matajiri(watawala) hao masikini ni nature yao sababu walidandia treni kwa mbele ila Matajiri(watawala) ni watu wenye nature ya power automatically,
Dhumuni la Mungu lilikuwa wale watawala tuu ndio waje waitawale Dunia,
 
Ndugu yangu jambo hili linataka busara ya kibinadamu tu kufikiria, hivi fikiria wanyama wote uwaonao majumbani na mwituni wangekuwa na utashi na akili kama sisi, Dunia ingekalika hii?!!


Na ndiyo maana Mungu akawapa mamlaka ya akili na utashi wale tuu aliowaumba kule Mbinguni, na kuwapa kazi ya kuja kuutawala ulimwengu ambapo kwa muda huo hata wale watu wa udongo waliokuwapo duniani hawakuwa na shida, kwenye utawala sababu walikuwa, hawana tofauti na wanyama uwaonao leo Duniani ila mpango huo alikuja kuuharibu shetani.

Mungu hakuumba matabaka kwa watu, ila hao watawala walipewa maumbo yanayofanana na sisi kabisa, inshort watu hao wapo mpaka sasa, na katika hali ya kawaida yule aliyeumbwa kwa udongo hawezi kushindana nao hao katu! Hao wana power kiasili na kila wanachotaka kiwe kinakuwa, hapo ndipo wewe unaanza kuona matabaka, ingawa kuna matabaka mawili tu Duniani, Masikini na matajiri(watawala) hao masikini ni nature yao sababu walidandia treni kwa mbele ila Matajiri(watawala) ni watu wenye nature ya power automatically,
Dhumuni la Mungu lilikuwa wale watawala tuu ndio waje waitawale Dunia,
Kwa hiyo unasema mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao wanyana wana utashi na akili na viumbe vyote vimekamilika ambayo haiwezekani kuwa na maovu?

Hilo halitamaanisha kwamba mungu huyu hawezi kila kitu?
 
Kwa hiyo unasema mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao wanyana wana utashi na akili na viumbe vyote vimekamilika ambayo haiwezekani kuwa na maovu?

Hilo halitamaanisha kwamba mungu huyu hawezi kila kitu?
Suala la kujua mema na mabaya si dogo kama unavyolifikiria, kiasi kwamba Mungu aiset level wanayotakiwa kuwanayo wana dunia ili kuwe na amani na Upendo, Mungu anachofanya ni cha uhakika uwezo wa kutupumbaza tusigombane anao ila ukweli ataujua yeye kuwa ametupumbaza,! Pia ujue kuwa kuna Galaxy nyingi mno na viumbe wake wengi mno wengine hata hujawahi kuwasikia, ila viumbe wote hao wakikusanywa siku moja mahari pamoja wote, wataweza kuelewana na kushare kila kitu kwa usawa,
sasa ikiwa viumbe Yaani Binadamu Duniani Tulipumbazwa ili tuwe na amani unadhani nini kinachoweza kutokea hapo,?
 
Suala la kujua mema na mabaya si dogo kama unavyolifikiria, kiasi kwamba Mungu aset level wanayotakiwa kuwanayo wana dunia ilikuwe na amani na Upendo, Mungu anachofanya ni cha uhakika uwezo wa kutupumbaza tusigombane anao ila ukweli ataujua yeye kuwa ametupumbaza,! Pia ujue kuwa kuna Galaxy nyingi mno na viumbe wake wengi mno wengine hata hujawahi kuwasikia, ila viumbe wote hao wakikusanywa siku moja mahari pamoja wote, wataweza kuelewana na kushare kila kitu kwa usawa,
sasa ikiwa viumbe Yaani Binadamu Duniani Tulipumbazwa ili tuwe na amani unadhani nini kinachoweza kutokea hapo,?
Hujajibu swali la msingi.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote karuhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kutoruhusu mabaya kuwezekana?

Hujajibu hili swali.

Ama hulielewi vilivyo ama unalikwepa.

Nauliza kwamba, kabla ya viumbe wowote kuumbwa, mungu alikuwa na uwezo wa kukataza mabaya yoyote kuwezekana kuwepo.

Kwa nini hakuutumia uwezo huo kukataza mabaya yoyote kuwezekana?

Jibu lako linatakiwa kumhusu mungu tu, ukianza kutaja viumbe wengine tayari ushakosea kwa sababu swali linauliza kabla ya kiumbe yeyote kuumbwa.
 
Hujajibu swali la msingi.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote karuhusu ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kutoruhusu mabaya kuwezekana?

Hujajibu hili swali.

Ama hulielewi vilivyo ama unalikwepa.

Nauliza kwamba, kabla ya viumbe wowote kuumbwa, mungu alikuwa na uwezo wa kukataza mabaya yoyote kuwezekana kuwepo.

Kwa nini hakuutumia uwezo huo kukataza mabaya yoyote kuwezekana?

Jibu lako linatakiwa kumhusu mungu tu, ukianza kutaja viumbe wengine tayari ushakosea kwa sababu swali linauliza kabla ya kiumbe yeyote kuumbwa.
Mungu kaumba viumbe wake kwa mfano wake hivyo kujua mema na mabaya, ni moja ya sifa ambazo anazo na amewapa waja wake..
 
Mungu kaumba viumbe wake kwa mfano wake hivyo kujua mema na mabaya, ni moja ya sifa ambazo anazo na amewapa waja wake..

Hujajibu swali la kwa nini mungu kaumba hivi, umerudia tu kusema mungu kaumba hivi.

Swali ililojibu si uliloulizwa na uliloulizwa hujajibu.

Halafu unaposema mungu kaumba kwa mfano wake, watu wana mapungufu. Hayo mapungufu ya watu ni mfano wa mapungufu ya mungu?
 
Hujajibu swali la kwa nini mungu kaumba hivi, umerudia tu kusema mungu kaumba hivi.

Swali ililojibu si uliloulizwa na uliloulizwa hujajibu.
Unataka kujua sababu ya mungu kuumba hivi? Au unataka kujua kwanini mungu kaumba mema na mabaya!? Mbona hueleweki!
 
Unataka kujua sababu ya mungu kuumba hivi? Au unataka kujua kwanini mungu kaumba mema na mabaya!? Mbona hueleweki!
Sieleweki au wewe huelewi?

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Vyovyote alivyotaka ni pamoja na ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kama vile ambavyo ulimwengu huu wetu hatuwezi kurudi nyuma katika muda.

Hakuumba ulimwengu huo.

Kaumba huu ambao mabaya yanawezekana, ila kurudi nyuma katika muda hakuwezekani.

Kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Sieleweki au wewe huelewi?

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Vyovyote alivyotaka ni pamoja na ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kama vile ambavyo ulimwengu huu wetu hatuwezi kurudi nyuma katika muda.

Hakuumba ulimwengu huo.

Kaumba huu ambao mabaya yanawezekana, ila kurudi nyuma katika muda hakuwezekani.

Kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Mzee Mungu hachezi kama mtoto ati aje aidanganye nafsi yake, eti aumbe ulimwengu wenye watu kama misukule wakati huko kwingine kote aliumbwa viumbe wanaojua mema na mabaya na hawajakengeuka! Kwa uumbaji huo labsa Mola angeweka Uzio kwenye Dunia ili liwe kama eneo analofuga misukule wake ila kwa kuuacha ulimwengu ukielea angani ni ishara kuwa alifanya binadamu wawe kamili.. kamili isiyo na unafiki wa kuficha hili wakati kina mikaeli aliwapa kila kitu na wanamtukuza yeye kutwa kucha, uneshajingea mazingira ya kutokuelewa na kweli hutakuja kuelewa katu...
 
Mzee Mungu hachezi kama mtoto ati aje aidanganye nafsi yake, eti aumbe ulimwengu wenye watu kama misukule wakati huko kwingine kote aliumbwa viumbe wanaojua mema na mabaya na hawajakengeuka! Kwa uumbaji huo labsa Mola angeweka Uzio kwenye Dunia ili liwe kama eneo analofuga misukule wake ila kwa kuuacha ulimwengu ukielea angani ni ishara kuwa alifanya binadamu wawe kamili.. kamili isiyo na unafiki wa kuficha hili wakati kina mikaeli aliwapa kila kitu na wanamtukuza yeye kutwa kucha, uneshajingea mazingira ya kutokuelewa na kweli hutakuja kuelewa katu...
Unashindwa kuelewa kwamba kuna tofauti ya kuumba ulimwengu ambao una mema na mabaya halafu ukawafanya viumbe wako misukule kwa sababu hawajui mabaya na kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya na hivyo viumbe wako wasipojua mabaya si misukule kwa sababu hakuna mabaya at all.

Kwa nini mungu karuhusu mabaya wakati angeweza kuumba ulimwengu usio na mabaya?
 
Unashindwa kuelewa kwamba kuna tofauti ya kuumba ulimwengu ambao una mema na mabaya halafu ukawafanya viumbe wako misukule kwa sababu hawajui mabaya na kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya na hivyo viumbe wako wasipojua mabaya si misukule kwa sababu hakuna mabaya at all.

Kwa nini mungu karuhusu mabaya wakati angeweza kuumba ulimwengu usio na mabaya?
""Atakujibu Mungu"" katu hutanielewa sababu ulishaniambia hutaki kuamini, So hayo maswali yako ya simultaneous equation utamuuliza Mungu mwenyewe siku akija kisha utampa fact zako zote za sayansi yako kwamba yeye hayupo. Sayansi yako ni kubwa naamini hata Mungu atazishangaa... 🙄
 
Hujajibu swali. Umelikwepa na kuli dismiss tu.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Umepest tena!!
1).Wewe umejuaje kama alikuwa na uwezo alafu baadae ukatambua kwamba ameacha tu,hakuumba hivyo unavyovitaka na akaumba nje ya hivyo?.
2).Kwanini unataja neno "KAUMBA" kwanini usichote neno lingine.Unadhani neno"KAUMBA" na neno "MUNGU" unavitaja kwa kuvihusisha,na kwanini huwezi kuhusisha vinginevyo???

3).Wewe Kiranga unatrick nyingi umeona hoja ya kuthitisha uwepo wa nimeimaliza sasa naona umekuja na 'B' yake.
4).Unatakiwa utoe majibu ungejuaje kwamba hili ni ZURI kama kusingekuwa na BAYA??? ndo tutazame hekima ya Mwenyezi Mungu kwa waja wake.Mfano;
Kama kungekuwa na usiku tuuuuuu! bila ya kuwepo mchana au kama kungekuwa na mchana tuu bila ya usiku siku zingehesabikaje??
 
Kwanza nani kakwambia kisichopo kinathibitishika kwamba hakipo?

Pili, nani kakwambia namuamini Einstein?

Tatu, kwa nini nimuamini Edward Milne?

Nne, mungu wako ni sawa na mchezo wa bahati nasibu?

Tano, what is that something beyond scientific investigation and how do you know so?

Sita, kukosa ushahidi wa chanzo cha species na universe ni uthibitisho kwamba vimeanzishwa na mungu?

Saba, ninazosema theories za physics ziko wapi? Logical consistency ni theory ya physics?

Nane, nisome vizuri theories mbalimbali zipi? Unaweza kuzitaja kwa majina?

Tisa, unaniponda kwa kukataa uwepo wa mungu kwa kutumia theories tu halafu unanitaka nisome theories tu zaidi?

Kumi, nani kakuambia nimesoma Albert Einstein peke yake?
Na hata hoja zako ni za ki theory tu

Huna haja ya kupewa reality ikiwa we mwenyewe ni wa ki theory theory imeandikwa wajibuni wajinga sawa na ujinga wao
 
Umepest tena!!
1).Wewe umejuaje kama alikuwa na uwezo alafu baadae ukajua kwamba ameacha tu,hakuumba hivyo unavitaka na akaumba nje ya hivyo?.

Mungu hakuwa na uwezo?

2).Kwanini unataja "KAUMBA" kwanini usichote neno lingine.Unadhani neno"KAUMBA" na neno "MUNGU" unavitaja kwa kuvihusisha,na kwanini huwezi kuhusisha vinevyo???

Sijahusisha bila swali, nimeuliza swali. Unaweza kulijibu?

3).Wewe Kiranga unatrick nyingi umeona hoja ya kuthitisha uwepo wa nimeimaliza sasa naona umekuja na 'B' yake.

Umethibitisha wapi uwepo wa mungu? Unaweza ku link au copy paste hapa?

4).Unatakiwa utoe majibu ungejuaje kwamba hili ni ZURI kama kusingekuwa na BAYA??? ndo tutazame hekima ya Mwenyezi Mungu kwa waja wake.Mfano;

Kwani zuri likifanywa bila kujulikana hili zuri linapungua uzuri wake?

Habari ya kwamba huwezi kujua zuri bila ya kuwepo baya ni sawa na kusema huwezi kujua muda unavyoenda mbele kama hujawahi kurudi nyuma katika muda. Dhana hii ni potofu.

Tunajua muda unavyokwenda mbele bila hata ya kuwahi kurudi nyuma katika muda.

Kama kungekuwa na usiku tuuuuuu! bila ya kuwepo mchana au kama kungekuwa na mchana tuu bila ya usiku siku zingehesabikaje????.

Unarudia kile kile. Si lazima kwa vitu kuwa pacha ili kimoja kiwe na maana.Mbona muda unaenda mbele tu, haurudi nyuma, lakini bado tunahesabu masaa na siku?

Unachosema hapo ni kama kusema kwamba kwa kuwa muda unaenda mbele tu, haurudi nyuma, basi hatuwezi kujua maana ya muda na hatuwezi kuuhesabu.
 
Na hata hoja zako ni za ki theory tu

Huna haja ya kupewa reality ikiwa we mwenyewe ni wa ki theory theory imeandikwa wajibuni wajinga sawa na ujinga wao
Hujajibu ulichoulizwa na ulichojibu hujaulizwa.

Unayekandya theory unaweza kuthibitisha uwepo wa mungu nje ya theory?

Unatetea imani kwa kukandya theory bila kujua hakuna imani nje ya theory? Kwamba kimsingi Imani NI theory?
 
Hujajibu ulichoulizwa na ulichojibu hujaulizwa.

Unayekandya theory unaweza kuthibitisha uwepo wa mungu nje ya theory?

Unatetea imani kwa kukandya theory bila kujua hakuna imani nje ya theory? Kwamba kimsingi Imani NI theory?
Tatizo lako hukunielewa niliporejea juu ya suala la theory ninamaanisha kuwa kwa kuwa wewe mwenyewe huamini uwepo wa mungu kwa kutokana na theory basi ndo maana wajibiwa kwa theory kuthibitishiwa uwepo wake na hata imani zetu juu ya uwepo wa mungu umetokana na theory lakini ndani theory hizo tukawekewa vivid examples ili kuverify hizo theories kwa mwenye shaka
Na mwenyezi mungu akasema hiki ni kitabu kisicho na shaka ndani take (Surat baqara)
Hii ni kuonesha kuwa kuna uthibitisho juu ya theories zenye kujenga imani zetu ili kuondoa shaka zitakazojitokeza
Hivyo basi kwa wale wasioamini uwepo wa Mungu kama wewe bwana kiranga (hili jina kiranga lina tafsiri ya hali ya kulaaniwa au mtu mwenye kuandamwa na mabalaa kwa tafsiri ya lugha ya kikwetu) samahani kama nitakua nimefanya personal offending) ni wenye kujawa na nadharia tu pasi na uthibitisho wowote wenye kuondoa shaka juu ya kile wanachokisimamia
Basi sema nyinyi mliokufuru kamwe sitaabudu kile mnachokiabudu na wala sitaamini kile mnachokiamini........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom