CCM na Serikali inatambua Fika Maandamano ya wananchi ndio njia pekee ya wao aidha kuondoshwa madarakani au kulazimika kukubali matakwa ya wananchi ambayo hawataki kuwapa.
Njia zote nyingine ikiwemo ya kukaa mezani haziwezi kuzaa matunda kwani tayari CCM wanajua namna ya kucheza ulaghai kwa vyama vingine ikiwemo kuweka vyama feki na wanasiasa wa CCM ndani ya vyama vingine
Kuhusu uchaguzi hapo ndio kabisaa hata ipite miaka 1000 kwani wao ndio wanaamua nani apite sababu wao ndio wanaandaa mfumo mzima wa huo uchaguzi hivyo hawawezi anguka kwa kura.
Kitu pekee kinaweza watoa CCMmadarakani ni kupia maandamano ya wananchi wakiwa kundi kubwa na ndio maana wanafanya kila jitihada hilo lisitokee ili waendelee kutawala
Wanatoa Rushwa, wanateka na kuua watu, wanaficha watu, wanaweka jela wanatisha raia kwa kila njia, kupitia jeshi la polisi, jeshi la wananchi ili watu waingie hofu wasitoke kuandamana tarehe 29, kwani ndio njia pekee ambayo hawawezi chakachua matokeo yake iwapo wananchi wote wakaamua kuamdamana.
Ndio maana mnaona sasa hawaelezi sera zao ila wanakemea maandamano maana hayo ndio tishio la ulaji wao.
Wanajificha kwenye amani ila hakuna amani wanayotaka isipokuwa wanataka mbaki mnalinda amani wao wanatawala
Njia zote nyingine ikiwemo ya kukaa mezani haziwezi kuzaa matunda kwani tayari CCM wanajua namna ya kucheza ulaghai kwa vyama vingine ikiwemo kuweka vyama feki na wanasiasa wa CCM ndani ya vyama vingine
Kuhusu uchaguzi hapo ndio kabisaa hata ipite miaka 1000 kwani wao ndio wanaamua nani apite sababu wao ndio wanaandaa mfumo mzima wa huo uchaguzi hivyo hawawezi anguka kwa kura.
Kitu pekee kinaweza watoa CCMmadarakani ni kupia maandamano ya wananchi wakiwa kundi kubwa na ndio maana wanafanya kila jitihada hilo lisitokee ili waendelee kutawala
Wanatoa Rushwa, wanateka na kuua watu, wanaficha watu, wanaweka jela wanatisha raia kwa kila njia, kupitia jeshi la polisi, jeshi la wananchi ili watu waingie hofu wasitoke kuandamana tarehe 29, kwani ndio njia pekee ambayo hawawezi chakachua matokeo yake iwapo wananchi wote wakaamua kuamdamana.
Ndio maana mnaona sasa hawaelezi sera zao ila wanakemea maandamano maana hayo ndio tishio la ulaji wao.
Wanajificha kwenye amani ila hakuna amani wanayotaka isipokuwa wanataka mbaki mnalinda amani wao wanatawala