Viti Maalum vya Ubunge vyaigawa CHADEMA. Washindwa fikia muafaka kususia Bunge

Vip
Mmeshapoa sasa mnawaza mapanki ni bora muyale tu?
Vipi kuhisu bosi wenu LISU mnaanza kumsahau kiaina, vipi misheni zake mara maandamano au mme mpuuza?
changia mada kama haikuhusu pita kushoto. usitake kunijuajua humu JF,
 
Kama wako serious, hakuna kushiriki ubatili. Chama kipitishe azimio marufuku kushiriki kwenye udiwani wala ubunge. Atakayekaidi, fukuza chama aende CCM akapate ubunge au udiwani. Viti maalumu inatumwa na Chama, simuoni Mnyika, Mbowe na Lissu wakituma hayo majina. Over
Watakufa na njaa, na kubaki kama chama cha dovutwa.
 
nawashauri wasisusie,bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura
List huwa inawasilishwa tume ya uchaguzi kabla ya uchaguzi kufanyika. Hivyo tume ndiyo itateua kwa kufuata orodha hiyo wakianzia na jina la kwanza hadi nafasi zinapoishia. Kwa sasa huwezi kuchomekea majina.
 
Hii ndo busara mkuu
Na ikiwezekana hata madiwani wafanye kazi sawasawa japo mazingira ni magumu
..nashauri waachwe waende bungeni.

..wakifika huko wawe jeshi la WANAWAKE dhidi ya wabunge wa ccm.
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata Chadema wanaweza kupata wabunge wa viti maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia Chadema inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Hata mimi ningewashauri waende bungeni wakavute mshiko ambao pia utawasaidia kusolve matatizo madogo ya chama chao.
 
Njaa haina Baunsa

Uchaguzi umeisha sasa tujenge nchi.

URT- JPM
SMZ- Mwinyi
 
daah nime block CCM kibao ila bado sijamaliza. nichunie mwana. Hili la kutesa wenzenu inabidi lilete mpasuku. Kwa hiyo ukiniona humu nipotezee, au sio? sina zuri na CCM
Utakufa hivyo Hivyo
Na Kamwe Shetani Hatashinda nguvu za Mungu
Block hadi Kivuli chako ubakie na Mavazi Uliyo yavaa mwilini mwako
Bado Haita badili Ukibendera wako wakushabikia Upinzani Uchwara
Na Ukitaka usisemwe kula Tango na Asali
 
Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Kumbuka listi ya wabunge wa Viti maalum ilishapelekwa Tume siku nyingi sana. Kwahiyo huwezi kubadilisha kitu pale.
 
Kama wako serious, hakuna kushiriki ubatili. Chama kipitishe azimio marufuku kushiriki kwenye udiwani wala ubunge. Atakayekaidi, fukuza chama aende CCM akapate ubunge au udiwani. Viti maalumu inatumwa na Chama, simuoni Mnyika, Mbowe na Lissu wakituma hayo majina. Over
Ilishatumwa siku nyingi sana.
 
Aisee mambo yanakwenda kwa kasi mno sasahivi chadema wanapambania viti maalum.
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Huna ujualo,
Umeongelea hisia zako,
Ambazo sio lazima ziwe kweli
 
Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Umenena vyema
 
Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Tuandamane hizo nafasi asikose Mbowe, Lema, Sugu, Msigwa na tumfikirie hata Zitto maana ameshaacha usaliti! Tuandamane keshokutwa saa mbili...
 
Kama wako serious, hakuna kushiriki ubatili. Chama kipitishe azimio marufuku kushiriki kwenye udiwani wala ubunge. Atakayekaidi, fukuza chama aende CCM akapate ubunge au udiwani. Viti maalumu inatumwa na Chama, simuoni Mnyika, Mbowe na Lissu wakituma hayo majina. Over
Kisiasa hilo ni kosa wanajiua
 
Back
Top Bottom