Viti Maalum vya Ubunge vyaigawa CHADEMA. Washindwa fikia muafaka kususia Bunge

Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.
Mmeanza kubadili gia angani! Hata hivyo, ushauri ni mzuri kwao!
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Ushauri wa bure kwa Chadema,
1. Wasisusie
2. Wanawake wote walikuwa wabunge Bunge lililopita na wakagombea majimbo uchaguzi huu, ndio wapewe kipaumbele cha kwanza
hivyo tutawaona
1.Mdee
2. Bulaya
3. Matiko
4.Wasira
5.Peneza...
P
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Kunawaowaza huenda wanhekua mademu, wangenufaika na hizo nafasi wakarudi mjengonii.
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Viti 12 hadi 18 kwa asilimia ngapi ya kura walizopata?
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Acha umbea utaolewa mtoto wa kiume
 
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.

Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.

Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.

Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.

Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Unahisi hivyo au kuna ukweli???
 
Mbona nitashidwa kuwaelewa chadema kama watakubali kupeleka wabunge wa viti maalum hii ni kama kuharalisha kwamba uchaguzi ulikuwa wa uhuru na haki
 
Back
Top Bottom