TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
Mmeanza kubadili gia angani! Hata hivyo, ushauri ni mzuri kwao!Nawashauri wasisusie, bunge ni sehemu ya kupeleka ajenda za chama. Nashauri hizo nafasi wapewe viongozi/watu machachari ambao kimsingi kila mtu anawajua. Huwezi kuwaacha Halima Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba na wengine wapya ambao ni moto kama yule binti aliyemshinda ubunge MwanaFA ila akaibiwa kura.