Deo Meck Mbagi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 360
- 525
Kutokana na kura za ubunge walizopata CHADEMA wanaweza kupata wabunge wa Viti Maalum kati ya 12 na 18.
Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.
Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.
Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.
Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.
Sasa wazo la wao kususia bunge na mabaraza ya madiwani limekuwa gumu kwa sababu kuna wanawake wanaoamini bora kutumia fursa hiyo kuliko kuiachia iende bure.
Katika kikao chao, Halima Mdee na Esther Bulaya wameweka msimamo kuwa bora waende bungeni walau kupooza machungu ya kushindwa bungeni.
Wakati huohuo vita ya ninani na nani watateuliwa kuwa wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA inaendelea huku wanawake wanaofukuzia nafasi hizo wamezidi kujiweka karibu na viongozi wanaofanya maamuzi ndani ya chama.
Wacha tusubiri hii movie itaishia wapi.