Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

Paskali hii hoja yako mama Sophia Simba kipindi ni mwenyekiti wa UWT-CCM aliintroduce akakutana na upinzani mkali balaa, alivyofukuzwa uanachama wajumbe walishangilia sana, yeye alipendekeza mwisho iwe vipindi viwili tu viti maalum baada ya hapo nenda jimboni
 
Kila mkoa lazima ulete mtu ikiwa mna idadi ya kutosha, kwa mfano ccm ina 94 kwahiyo kila mkoa unatoa wawili, halafu wanachukua kutoka makundi maalum mfano walemavu, vyuo vikuu aliyoingia nayo asha rose migiro
Kwa hiyo huyo Kabula wa Kebbys amechaguliwa kupitia mkoa gani?
 
Wasindikizaji wanaonekana, na wenye viti vyao wapo.
Hawa nafikiri, kazi yao kubwa ni praise & worship, pia kupendezesha viunga vya bunge.

Everyday is Saturday............................... 😎
Tausi wa viunga vya Bunge
 
Kwa hiyo huyo kabula wa kebbys amechaguliwa kupitia mkoa gani?
Waulize CCM mimi sijui mkuu, na sio lazima wote watokee kwenye mikoa, CCM ina nafasi za viti maalum 94 lakini mikoa inaweza kutoa wabunge wasiozidi 70 wengine ni kutoka makundi mbalimbali mf: walemavu, vyuo vikuu nk
 
Waulize CCM mimi sijui mkuu, na sio lazima wote watokee kwenye mikoa, CCM ina nafasi za viti maalum 94 lakini mikoa inaweza kutoa wabunge wasiozidi 70 wengine ni kutoka makundi mbalimbali mf: walemavu, vyuo vikuu nk
Kwahiyo huyo Kabula katoka kundi gani kwani wakati wa mchakato wa kura za maoni viti maalumu CCM sikumsikia kagombea kupitia kundi lolote wala mkoa wowote
 
Hawana kazi. Bunge lijalo litaongoza kwa wabunge wake kupata mimba Dodoma. CCM, baada ya kuiba kura na kuwapata wabunge mapoyoyo wasio na uwezo wa kusoma miswaada na kujenga hoja, sasa inafuata aibu ya mimba. Idle brain is the devil's workshop (ubongo usiyotumika ni karakana ya shetani).
Yetu macho...ila kazi ni pale watakapoanza kunyang'anyana
 
Kila mkoa lazima ulete mtu ikiwa mna idadi ya kutosha, kwa mfano ccm ina 94 kwahiyo kila mkoa unatoa wawili, halafu wanachukua kutoka makundi maalum mfano walemavu, vyuo vikuu aliyoingia nayo asha rose migiro
Wangetuwekea orodha kwa mikoa tutathmini.
 
Jaman hawa watu ni wengi.

Hii ni hasara hapa ni sawa na shule mpya kama hamsini.

Au ajira za walimu wa primary hata 30000
[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hebu jamani nielimisheni nini hasa lengo la viti maalum na kwa nini wapo wengi namna hii. hivi kweli kuna haja ya kuwa na wabunge 94 katika bunge ambao hawakuchaguliwa na wananchi? Hawa kweli wana ujuzi na elimu gani ambayo wabunge wa kuchaguliwa na wananchi hawana, hawa kweliwanamuwakilisha nani hasa bungeni?

muhimu zaidi ningelipenda kujua ni kiasi gani wabunge hawa kila atakuwa akipokea kila mwezi, na kiasi gani watapata kama marupurupu mengine.

oh by the way CCM oyeeee!!!!!
 
Kwahiyo huamini au? Mzee wake(bulembo) alihojiwa Clouds akawa mkali balaa akasema hamtambui zito kama mkwe wake maana amekutana na bintiye vichochoroni
Hahahaha kumbe kiingozi wa chama ni kiungo mshambukiaji ah iyo ilinipita ...bac kama ni ivyo mzee wake ana kosea maana ndo ishatokea ivyo tena
 
Back
Top Bottom