Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

Wasindikizaji wanaonekana, na wenye viti vyao wapo.
Hawa nafikiri, kazi yao kubwa ni praise & worship, pia kupendezesha viunga vya bunge.

Everyday is Saturday............................... 😎
Hawana kazi. Bunge lijalo litaongoza kwa wabunge wake kupata mimba Dodoma. CCM, baada ya kuiba kura na kuwapata wabunge mapoyoyo wasio na uwezo wa kusoma miswaada na kujenga hoja, sasa inafuata aibu ya mimba. Idle brain is the devil's workshop (ubongo usiyotumika ni karakana ya shetani).
 
Hahaha hao wanaenda kukoza rangi ya kijani ikolee zaidi.
 
Hawana kazi. Bunge lijalo litaongoza kwa wabunge wake kupata mimba Dodoma. CCM, baada ya kuiba kura na kuwapata wabunge mapoyoyo wasio na uwezo wa kusoma miswaada na kujenga hoja, sasa inafuata aibu ya mimba. Idle brain is the devil's workshop (ubongo usiyotumika ni karakana ya shetani).
Mkuu mbona kama kuna kitu unataka kumsingizia Gwajiboy ?
 
Jamani hawa watu ni wengi
Hii ni hasara hapa ni sawa na shule mpya kama hamsini
Au ajira za walimu wa primary hata 30000
Je, wale waliogawia wake zao kina Mbowe, Msigwa, Lema, Lissu? Sugu, Mnyika.
Ile ni aibu. Nani aliwachagua hao watu kuwa viti maalumu?
 
Back
Top Bottom